TID - hizi ni frustrations ama?

TID - hizi ni frustrations ama?

Naishauri serikali iandae kitengo maalumu cha wana saikolojia ili kuweza kuwasaidia wasanii pindi watakapokuwa juu na watakaposhuka.Ona sasa mtu ambaye alikuwa role model kwa vijana leo anakuwa hivi kweli? Pia serikali hiyo hiyo iandae mazingira mazuri kwa wasanii ili wasiweze tapeliwa pesa zao maana wapigaji wa kazzi za wasanii ndio hupelekea mambo yote haya.Alivuma wakati huo lakini hakuna alichopata na badala yake meneja ndo alinufaika.Msaada huu wa serikali usiwe wa kwenye vyombo vya habari tuu bali uwe na uhalisia.
 
TID alienda bara akazinguana na huyo jamaa TID akachukua pombe akammwagia jamaa usoni, weee alichezea kichapo cha haja amevimbishwa haswa, hii ya video ilikuwa awamu ya pili, TID pesa imekuwa ngumu akiona maendeleo ya kina Harmonise anapata msongo..huyu atarudia bwimbi tu.
 
Vijana wa Kino stereo hao.....
Dah mkuu wa mkoa wetu ndy amuone sasa Maana alimsaidia vya kutosha

Ova
 
TID alienda bara akazinguana na huyo jamaa TID akachukua pombe akammwagia jamaa usoni, weee alichezea kichapo cha haja amevimbishwa haswa, hii ya video ilikuwa awamu ya pili, TID pesa imekuwa ngumu akiona maendeleo ya kina Harmonise anapata msongo..huyu atarudia bwimbi tu.
Mkuu najua fika ata hao unaowataja kama hakutakuwa na usimamizi mzuri wa pesa basi mambo yatakuwa hivi tuu.Neno msanii lina maana kubwa sana aseee unaona leo kama wamefanikiwa kumbe wanafanya usanii tuu ikiwa wao wanateseka wengine ndo wananufaika na matokeo yake wanakuwa kwenye msongo kama wa huyu
 
Kumbe alichezea kichapo kweli
TID alienda bara akazinguana na huyo jamaa TID akachukua pombe akammwagia jamaa usoni, weee alichezea kichapo cha haja amevimbishwa haswa, hii ya video ilikuwa awamu ya pili, TID pesa imekuwa ngumu akiona maendeleo ya kina Harmonise anapata msongo..huyu atarudia bwimbi tu.
 
Wapuzz
TID ameshindwa tumia nafasi yke vzr
Ila bonge la msaniii
Kuna siku kalapina alimpiga Bila wadau kutokea na kumzuia angemumiza
Alafu wale Wana ka undugu
Sema TID ana mdomo mchafu
Kupigwa lzima

Ova
Mdomo mchafu na dharau. Mtu akiwa na hizo tabia mbili halafu akawa mlevi mlevi na stress lazima apasuke tu kila siku.
 
Hahaha Yeye kalewa halafu anapigana na wasiolewa ---

Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!...Dah! !ama kweli maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombee
Inategemea unaishi vipi na majirani huyo mtu wa majigambo inaonesha hata majirani wamemchoka.
 
Back
Top Bottom