Ngumi kaanza kurusha mwenyewe kipigo kimegeuka kwake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Lazima utakuwa unachezea kichapo
Jamaa si mtu wa kujishtukia sahv
Ova
Akishakula mambo yke basiYaani hana mshipa wa noma kabisa
kapewa kichapo huyoHabarini wadau?
Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa.
Je ni frustrations ama?
View attachment 1132497
hahah ukiitwa kwenye kikao cha familia ukitaka kuchangia hoja wanahis unataka kuanzisha ugomvi unapewa mirinda nyeusii utuliee kwnza 😀 😀 😀aisee nimeshangaa maana mitaa naijua hiyo, ugua maradhi yote ila sio kukosa hela nishawah kudhalilika sana kwa ndugu kisa sina hela, huwez pata msaada wowote....
Halafu mbona huo ni mtaa wa kwao ina maana hakuna hata aliye jitokeza kum-gombelezea. .?!!!
Naam kweli kabisa. .juzi siamepigwa kisu yule binti wa chuo mpaka akafikwa na umauti. .mijitu ipo tuDasilamu watu hawana muda, kuna mwana alikuwa anatobolewa macho watu kando yake wanakula chips tu.... hapo wanacheka na kurekodi kideo tu.
Hahahahahah ukiitwa kwenye kikao cha familia ukitaka kuchangia hoja wanahis unataka kuanzisha ugomvi unapewa mirinda nyeusii utuliee kwnza 😀 😀 😀
He he. Akaseme kuwa amewekwa nundu na mtoto mdogoTID lazima akasemee kwa mama yake, huyu mnyama gani sijui....[emoji848][emoji848]
Sio tu msaada, kuna mambo ambayo ukifanya utaonekana sio ukiwa huna hela ila ukiwa nazo watu wanakuvalia mawani ya bati tu. The first time naanza kuweka kamba shingoni nilipewa angalizo kuwa zile vitu wanavaa mashoga, ila kaka mkubwa aliekulaga shavu Tixx alikuwa anazitupa za gold kabisa. Haambiwi kitu.aisee nimeshangaa maana mitaa naijua hiyo, ugua maradhi yote ila sio kukosa hela nishawah kudhalilika sana kwa ndugu kisa sina hela, huwez pata msaada wowote....
Sio tu msaada, kuna mambo ambayo ukifanya utaonekana sio ukiwa huna hela ila ukiwa nazo watu wanakuvalia mawani ya bati tu. The first time naanza kuweka kamba shingoni nilipewa angalizo kuwa zile vitu wanavaa mashoga, ila kaka mkubwa aliekulaga shavu Tixx alikuwa anazitupa za gold kabisa. Haambiwi kitu.
SimfahamuKachacha ndio Ana nini cha maana Ukimfa fananisha na malegend wenzie wanao jielewa. ..zaidi ya kushinda maskani tu --
Simfahamu
Yaani utaitwa mzembe "Hujielewi.. mpenda starehe na kila Aina ya dhihaka
He he. Akaseme kuwa amewekwa nundu na mtoto mdogo
yan utaambiwa kila aina ya maneno, unampiga mzinga dadako, anakupigia simu babako anasema vip bwana naona njaa kali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaah aiseee noma sana