TID kuwaburuza Clouds Fm mahakamani

Which proves even more kuwa kuna kesi (tena hata zaidi ya moja) maana akisema kaproduce hiyo nyimbo kwa Studio ambayo ni non-existent basi amedanganya
Huyu mwandishi atakuwa ametafsiri mawingu studio nadhani ilikuwa chini ya bony love ndiyo kaiita clouds studio.
 
Hehehe 500Million, pesa ambayo hajawahi shika.
 
Alikuwa wapi huyu nae siku zote hizo it's too late brother TID
 
Exactly!
 

Chuki zako kwa Kiba zingekuwa ni tobo, hakika leo Ali Kiba angelionekana kama wavu au chekecheke.
 
Bange...
 
Chakula cha nyoka kinampoteza legend wetu mnyama tid maskini tafuta lawyer akushaur vizur usikurupuke
 
Kiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…