Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
Well said kidum. Yeye kachangia nini uko kabla ya kuja kujudge wenzio wafanye kitu yeye hawezi. Kuishi na binadamu ni kazi
JK na Magufuli walikuwepo?
Mtoto wa masikini huyo hana 40 wala 50 yupo yupo tu kama magufuli
We umechangia nin kwenye hizo hospital? By the way NMB sio charity firm na,sio jukumu lao kuchangia matatizo yenu hamna serikali? Wanatoa wakipenda tu kurudisha fadhila kwa jamii na si lazima, n kwa taarifa hawa wapo kibiashara tu.
Well said kidum. Yeye kachangia nini uko kabla ya kuja kujudge wenzio wafanye kitu yeye hawezi. Kuishi na binadamu ni kazi
Naomba kuuliza swali
Mbona siwaonagi watu kama kina Nancy sumari Mrs mengi and the type kwenye shughuli kama hizi
Mtoto mzuri naona kafanana na domo aiseee
ni vizuri afanane na mamayake lakini akifanana na baba atakuwa mbeya sababu ya dmo
we umeoana...!?
Mmh kibakuli Ana watoto wangapi anazaa kama digidigi duuh huyu 40 yake ishapita au bado
Mtoto wa masikini huyo hana 40 wala 50 yupo yupo tu kama magufuli
Hahahahahahahahaaaaa nimejikuta nikichekaaa, mtoto wa mzinifu mwingine
Mtoto kafanana na Katunzi mtupu