Nimeangalia huduma ya taarifa fupi ya miamala. Mmeleta msg kuwa huduma haipatikani kwa sasa sababu ya mtandao. Lakini mmekata Tsh 50 ya huduma. Huu kama siuo wizi ni kitu gani?
Si tigo hata NMB MOBILE nayo ni kipengele huduma ya mobile wakata 100 huku unaambiwa huduma haijakamilika Kuna watu watakufa vinywa wazi Kwa laana ya wizi unaofanyika ktk huduma hiyo
Kwa NMB Mobile niliamua kubadilisha laini kutoka voda kwenda tigo maana ni free katika ufikiaji. Voda unakuta ulitaka kununua umeme tu lakini muamala unafeli mara 2 na unakatwa 20
mara 2.