Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
kaongea ukweli bana ...mnh huyu binti nae..................
mods msitoe hii kitu kwa sababu ipo kwenye jukwaa la ma celebriti ..na mkitoa sijui mtaakuwa mnataka tumuweke nani..diva kawachana tigo na kaiweka you tube mwenyewe...tigo tigo tigo ...whats wrong with tigo? but i love tigo as tigo
[video=youtube_share;WD_shIGT14s]http://youtu.be/WD_shIGT14s[/video]
Mashalahh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila kweli kauza vibaya sanaaaa.Hujajua tu mwenzako yuko mauzoni hvo....sio tatizo la tigo wala nini. Hiyo ishu ya tigo imetumiwa tu kama kisingizio
hahaaaa ..kausha mazee...but mhhh those boobs ..my hands sijui kama zitakuwa na subiratigo blaa blah blah the beatch just selling them silly boobs..... get a life o u need some ....
ila kweli kauza vibaya sanaaaa.
mbona ni system ya kawaida sema ugeni wa wabongo ndo unasababisha malalamiko.Mtu hapatikan acha ujumbe issue simple hata USA hii ipo.I love tigo
mbona ni system ya kawaida sema ugeni wa wabongo ndo unasababisha malalamiko.Mtu hapatikan acha ujumbe issue simple hata USA hii ipo.I love tigo
ahahahaaah!!! watu kwa ku-reason......!!!Hujajua tu mwenzako yuko mauzoni hvo....sio tatizo la tigo wala nini. Hiyo ishu ya tigo imetumiwa tu kama kisingizio
she has to turn to Tanesco pia..may be hizi sauti nyororo watazisikilizaTigo aside,
Silent "h" anaijua huyu Diva ? Honestly?
Overall dada analeta changamoto nzuri kwa makampuni kuhusu customer service (despite rambling, too much cleavage and repetition).
Nashangaa kwa nini hakuna ya TANESCO.
leo kitu ndo nimesikia angalau kitu kizuri wa kutoka kuyu pepomnh huyu binti nae..................too good to be discussed here
It's true these guys wezi kweli, wanacho fanya sasa hivi wanakupa free minutes wakati wamepatisha gharama kwa dak 1 ni sh 100 hivi, instead ya sh 60, then wanadai wanakupa dak za bure ni UONGO MTUPU, njooeni AIRTEL HAWA NI WA UHAKIKA , kwa dak ni sh, 40 tu wakati mwingine hata chini ya hapo, Tigo wezi, ebu piga simu ucku uone utaliwa hela hadi ushangae, their adverts are in contrary of what wanafanya
Labbinnatangaza ndoa rasmi
leo kitu ndo nimesikia angalau kitu kizuri wa kutoka kuyu pepo