BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
wananikera hawa. Ukipiga cm haipatikana wakati ipo on. Hadi upige kwa mtandao mwengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia airtel wewe ndugu jamaa na marafiki.,.,hata kama na wao wezi lakini angalau wao kodi yao inaonekana ......
It's true these guys wezi kweli, wanacho fanya sasa hivi wanakupa free minutes wakati wamepatisha gharama kwa dak 1 ni sh 100 hivi, instead ya sh 60, then wanadai wanakupa dak za bure ni UONGO MTUPU, njooeni AIRTEL HAWA NI WA UHAKIKA , kwa dak ni sh, 40 tu wakati mwingine hata chini ya hapo, Tigo wezi, ebu piga simu ucku uone utaliwa hela hadi ushangae, their adverts are in contrary of what wanafanya
Leo asabuhi nilukuwa napiga simu kwa jamaa yangu sikuweza kumpata hewani.Cha ajabu nikaunganishwa na huduma ya kuacha ujumbe pale palsikujua ni nini kinaendelea kumbe jamaa tayari wanakata chao .Sasa kana sio wizi nini unampa mteja huduma ambayo hakuihitaji na bila idhini yake mnakata hela.
Ukipiga customer care 0713800800 ndio balaaa kabisa wanaanza kukata hewa pale tu unapojibiwa na sauti zao za kurekoti na utakuwa na bahati ya mtende kama simu yako itajibiw
Je huu sio wizi wadangajika wenzangu.na kama ni wizi tutaukomeshaje?
Tupa kabisa na hiyo line!mwenyewe tigo imeshaniboa!dawa yao ndogo tuu!siwek credit naigeuza inakua ya kupokelea tuu!ukikopa ndio balaa!ukilipa den balance inapotea!
kwani kazi yao hasa nini mpaka wapongezwe!! yaani kazi yao ni kutoa huduma wakitoa huduma vizuri tuwapongeze ndivyo unavyomaanisha!!Usitegemee furaha, mauzi nayo yapo. Jifunze kuvumilia.
Mböna sijakuona hata siku moja ukiwapongeza, au hawana mema?
Mwenzenu nimekuwa kwenye mahusiano mazuri na ya muda mrefu na tigo (I mean mtandao). Lakini siku za hivi karibuni, nahisi nitasitisha uhusiano huo na kuhamia either airtel au vodacom kutokana na sababu zifuatazo:
.
Mwenzenu nimekuwa kwenye mahusiano mazuri na ya muda mrefu na tigo (I mean mtandao). Lakini siku za hivi karibuni, nahisi nitasitisha uhusiano huo na kuhamia either airtel au vodacom kutokana na sababu zifuatazo:
- Ingawa wamesema wametoa muda mara mbili, lakini wamepandisha mno gharama kupiga tigo kwenda tigo. gharama kwa sasa zinakaribia kufika shilingi mia per minute. i have experienced it several times.
- Mtandao unasumbua sana. Nakumbuka siku moja simu zilikuwA
mie mwenzako wiki iliyopita niliweka vocha wakaniambia imetumika nikaingiza mara kama mbili baadae wakani lock nikanunua nyingine nikajaribu tena lakini wapi! Mpaka sasa nimefungiwa sina mawasiliano wiki nzima. Ukipiga namba 100 haipatikani au pia unakatwa.Tigo wiz mtupu.