tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

Mitandao yote ni wezi. Hata huko unakotaka kwenda ni walewale. Ila jaribu ujionee mwenyewe.
 
Ningependa kukwambia kwamba sio kila saa kwamba Tigo wanakuibia.. hiyo huduma iko mpaka ulaya lakini naona wabongo bado hamjaijua. Ukipiga simu ya rafiki yako na haipatikani unaweza kumachia message kwenye answering machine na badaaye akiwasha simu ataipata message yako na kukucontact...Tigo hawakuibii!!
 
Kwa mtindo huu watanzania tutabaki tunalalama na kulia tu hakuna wakutusaidia
 
Nilikuwa na shida na customer card mamaa utapiga kuanzia saa nne mpaka utakapochoka wanakuwekea kamziki tu af huku umeshakatwa hela wakipokea watakata maksudi upige tena,kuwapata shida na hela wamekata..nahama wezi nyie
 

tigo tatizolao wanakuunganisha moja kwa moja hatakama hutaki kuacha ujumbe
 
na kwa bahati mbaya, tiGO wapo kila kona ya jamii forum



du !
 
Wa Airtel tunafaidi tu. Yaani mtandao bei nafuu. Internet haisumbui!
 
sio kweli mmeamua tu kuwasingizia tigo wangu!! mbona mm naishi nao vizuri tu jamani!!
 
to be honest airtel re doing much better at the moment, wako serious nadhan uko tigo vijana wa IT ndo watakua wanacheza mchezo wote uu hao ndo wenye kampuni wanatakiwa wawabane kama hawajawatuma kufanya hivyo!
 
mbona ni system ya kawaida sema ugeni wa wabongo ndo unasababisha malalamiko.Mtu hapatikan acha ujumbe issue simple hata USA hii ipo.I love tigo
 
mods msitoe hii kitu kwa sababu ipo kwenye jukwaa la ma celebriti ..na mkitoa sijui mtaakuwa mnataka tumuweke nani..diva kawachana tigo na kaiweka you tube mwenyewe...tigo tigo tigo ...whats wrong with tigo? but i love tigo as tigo
[video=youtube_share;WD_shIGT14s]http://youtu.be/WD_shIGT14s[/video]
Mashalahh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kanifurahisha kumtimua yule Alpha baada ya kusema mambo yake ya mapenzi hawezi kuongea redioni coz ni private wakati kaenda kipindi cha mahab mwenyewe

nadhani bange anayovuta huyu dada siku hizi sio ile ya arusha wala mbeya, labda ya msasani
 
....diva ndo nani?..

tueleweshane manake nasikia siku hizi hadi zembwela ni mtangazaji wa redio hapo daslama..!

redio-eclipse!
 
kanifurahisha kumtimua yule Alpha baada ya kusema mambo yake ya mapenzi hawezi kuongea redioni coz ni private wakati kaenda kipindi cha mahab mwenyewe

nadhani bange anayovuta huyu dada siku hizi sio ile ya arusha wala mbeya, labda ya msasani
hahaaa..ya msasani ndio ipoje ...umenifurahisha kweli
 
mnh huyu binti nae..................too good to be discussed here
 
....diva ndo nani?..

tueleweshane manake nasikia siku hizi hadi zembwela ni mtangazaji wa redio hapo daslama..!

redio-eclipse!
[h=1]The One Diva Loveness Love[/h]ni mtangazaji wa redio clouds mwenye mikogo ya hali ya juu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…