Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Achana kabisa na TIGO.Ni majambazi.Tigo Tanzania mmezidi kutunyonya na bando zenu, hawa jamaa wana calculate vip hizi MB? Haiwezekani hata robo saa haijaisha GB1 imeisha..!
Hivi tatizo nini hii kitu imeanza kujitokeza wiki sasa, Tigo embu jitafakarini bwana...
Tumia airtell na TTCL