Tigo mnatunyonya sana na MB zenu...

Tigo mnatunyonya sana na MB zenu...

Halotel nimewavulia kofia ..
Hawa ndio hawafai kabisa nimesajili line mpya kwa mara ya kwanza nikaingiza salio tu LA kawaida,nikaitoa line pembeni,kesho yake najisemea akiba haiozi nijiunge MB na hiyo line nacheki salio kitu kinasoma shilingi 5 pekee ndio imesalia.
 
Back
Top Bottom