jr.kiyn JF-Expert Member Joined Mar 17, 2013 Posts 789 Reaction score 4,872 Jul 15, 2022 #41 adriz said: Halotel nimewavulia kofia .. Click to expand... Hawa ndio hawafai kabisa nimesajili line mpya kwa mara ya kwanza nikaingiza salio tu LA kawaida,nikaitoa line pembeni,kesho yake najisemea akiba haiozi nijiunge MB na hiyo line nacheki salio kitu kinasoma shilingi 5 pekee ndio imesalia.
adriz said: Halotel nimewavulia kofia .. Click to expand... Hawa ndio hawafai kabisa nimesajili line mpya kwa mara ya kwanza nikaingiza salio tu LA kawaida,nikaitoa line pembeni,kesho yake najisemea akiba haiozi nijiunge MB na hiyo line nacheki salio kitu kinasoma shilingi 5 pekee ndio imesalia.