tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Anajichoshaaaa tu tigo 3yrs back imeuzwaaa
 

Madeni yanayokuwepo wakati huo
Sio kesi za mafao ya wafanyakazi

Ndio maana kampuni zilizobinafsishwa hadi leo wafanyakazi wanasota kutafuta mafao yao hawaendi kwa wawekezaji wapya
Clifford kule London anamshtaki Nani?acheni utetezi wa Kitoto.
 

Muhimu ni kujua mualifu yuko wapi na siyo anayemmiliki mualifu. Ndiyo maana unaweza kufungua kesi X ukashutukia na Y anaingizwa na pengine kufungwa pia.
Kumbuka kesi ya Kihiyo wa TEMEKE
 
Imeshtakiwa kampuni sio wamiliki
Samahani, lakini tulia kwanza kwani hauna akili za kuweza kumjibu haraka msemaji wa kampuni kubwa kama hiyo. Fikiria vizuri, elewa, kwa upana (kama una ufahamu wowote wa mambo hayo) Kisha ndo useme lolote.
 
Naona mnakimbilia haraka kujibu kijf jf.......niko paleee nimetulia.😊😊😊
 
Kama mmiliki alibadilika mbona hakubadilisha kuna kama akina Zain ni?
 
Clifford kule London anamshtaki Nani?acheni utetezi wa Kitoto.
Anashitaki kampuni ya Milicom sio Tigo sababu hata yeye anajua hakuna kampuni inaitwa Tigo kwenye daftari la msajili wa makqmpuni Ulaya wala Tanzania

Ni Lisu tu ndie kakurupukq kama kawaida yake huwa kichwa chake utulivu huwa zero

Tigo haina kesi ya kujibu mahakama yeyote duniani iwe uingereza au Tanzania sio kampuni nanhaijawahi sajiliwa popote duniani.kwenye daftari la msajili wa makampuni popote duniani kama kampuni na haimo kwenye hati ya mashtaka

Lisu ana ujinga fulani hivi kwenye sheria ila ana kelele nyingiiiiiiiiii

Kichwani sheria nyingi yuko zero

Kwa Chadema Kibatala tu ndio yuko vizuri

Lisu hamna kitu
 
Anashitaki kampuni ya Milicom sio Tigo sababu hata yeye anajua hakuna kampuni inaitwa Tigo kwenye daftari la msajili wa makqmpuni Ulaya wala Tanzania....
Unaongea nn Bush lawyer? Mara Tigo IPO mara haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…