Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Kwa Arufani ataruhusu rufani..kina FA hawatoki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho kitakachofanyika, maana nyimbo ikifikisha miaka hamsini haina haki ya kuhifadhiwa tena so wakiwa wanauthibitisho waliisajili lini, issue itaishia mahakama ni bila hvyo nje ya mahakama na ndivyo ninavyoliona hili suala, hebu tungoje mudaNami nimeona kama wewe. Hakuna mahali Tigo wanakana kosa, bali wanapinga kutozwa faini KUBWA. lakini all in all Tigo wangeweza kuwaita AY na FA na kukaa nao kitako, wamalizae nje ya mahakama. Hili pia linawezekana
Kingine kuwa mpiga mapushapu kwenye majukwaa ya ccmMwanafa alijushushia heshima kuingia kwenye beef na mwanamama jide na ilivyo wengi tunamuombea ay azidi kufanikiwa
Tigo kwisha habari yaoKwa kuongezea soma hapa kidogo
View attachment 347436
Mungu awasimamie former ECT members washinde na walipwe stahiki zao.
[emoji3] [emoji3] daahSafi sana Tigo maana hao hawafanani na iyo ela waliyoitaka labda wangesema milioni 2 kila mmoja
Mungu anausika vipi uku!
Alikuja kwa kasi mno nadhani pumzi imekata sasaDada vipi mbona siku hizi sikuoni tena