Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Nilitaka kutoa mfano, nikaona sio vizuri kumsema marehemu kwa mila zetu.Ndio ujinga alioufanya Kayafa Jiwe mwishowe ikala kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kutoa mfano, nikaona sio vizuri kumsema marehemu kwa mila zetu.Ndio ujinga alioufanya Kayafa Jiwe mwishowe ikala kwake.
Na hili ndio jibu sahihi kabisa.Ugomvi wa Watigray na Serikali inatokana na kosa lililofanywa na PM AA baada ya kuingia madarakani kwa kutaka kufanya siasa za exclusion. Yaani kujaribu kuwaondoa watu waliokuwa wamejaa ndani ya Jeshi, Intelligence, Polisi, Utumishi wa Umma, Utawala na Siasa.
Yeah. Alifanya kosa sana. Madaraka yanalevya kwa sababu haitarajiwi mtu aliyewahi kuwa mkuu wa intelligence kutojua nguvu ya mifumo na madhara ya kujaribu kuwaondoa.Na hili ndio jibu sahihi kabisa.
Mimi Huyo jamaa nilimpuuza mapema Sana,Ile siku wanajeshi wame protest wakaenda mpk ofisini kwake,eti na yy ili kuwashusha mzuka akaanza kupiga nao push up.Nikajua huyo hajui maana ya kua Commander in chiefYeah. Alifanya kosa sana. Madaraka yanalevya kwa sababu haitarajiwi mtu aliyewahi kuwa mkuu wa intelligence kutojua nguvu ya mifumo na madhara ya kujaribu kuwaondoa.
Tigray wanapataje silaha nzito nzito? Sio Wamanga wa Misri wanawapa kiburi? Suala la Kujenga Bwawa limewachefua Wamanga Koko
Mchina nae Amwage Silaha vita inoge vzr
USA ndo anavumisha hayo mambo! Ili amkomoe mfadhili wa Abbiy Mchina. Angalia CNN ndo utawaelewa vzr MarekaniVita Ethiopia ipo sehemu ndogo sana ila media zinakuza mambo. Utasikia TPLF wakaribia kupata ushindi, wakati Addis Abbab watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, sana sana ni umeme tu unasumbua
Badala ya kumsupport Baba yako huko kijijini. Unasupport wasiokujua