Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.
Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.
Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy
Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.
***********************
Tayari SOLD OUT
UBAYA UBWELA
View attachment 3057798
Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.
Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy
Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.
***********************
Tayari SOLD OUT
UBAYA UBWELA