Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.

Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.

Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy

Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.

Ubaya ubwela.

Hii huwa naita ni ''pepo ya mabwege''. CCM imewakamata wabongo masikio kweli kweli. Badala ya kupigania maisha yao na watoto wao, wanakimbilia kujazana uwanjani kama nyumbu.
 
SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.

Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.

Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy

Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.

Ubaya ubwela.

Acheni mbwembwe tumeishawazoea, mwaka jana mlisema sold out wakati robo ya uwanja ulikuwa tupu.
 
Mlijaza uwanja Simba day miaka mitatu mfululizo cha kushangaza wakati wa kunyanyua kwapa mabingwa wakikabidhiwa hamuonekani, mnakuwaga wapi wanetu?😀
 
Kwa hiyo hakuna haha ya Kwenda uwanjani kijana maana haichangii chochote kwenye uchumi wa Timu???Kwa hiyo heavy stuffs ni udhamini wa milioni 200 Kwa mwaka wa vinywaji vya GSM, kuliko kuingiza hiyo million 200 Kwa SIKU Kwa mashabiki kujaza uwanja?? Mpira wakati wa COVID-19 ulikuwa biashara mfu Kwa sababu ya mashabiki hizo brand za biashara hazikuwepo??? Mangara ndo anawalisha hizi cheap stuffs,, afu mnaziita strong??
Kwa hiyo hakuna haha ya Kwenda uwanjani kijana maana haichangii chochote kwenye uchumi wa Timu???Kwa hiyo heavy stuffs ni udhamini wa milioni 200 Kwa mwaka wa vinywaji vya GSM, kuliko kuingiza hiyo million 200 Kwa SIKU Kwa mashabiki kujaza uwanja?? Mpira wakati wa COVID-19 ulikuwa biashara mfu Kwa sababu ya mashabiki hizo brand za biashara hazikuwepo??? Mangara ndo anawalisha hizi cheap stuffs,, afu mnaziita strong??
Uelewa wako ni mdogo sana naona reply yako imejaa pumba tupu hata sijui nianzie wapi.
 
Tayari hulo SOLD OUT

Utopolo mmeja mapovu nunueni tiketi msisubili mnunuliwe

UBAYA UBWELA
IMG-20240731-WA0035.jpg
 
Mlijaza uwanja Simba day miaka mitatu mfululizo cha kushangaza wakati wa kunyanyua kwapa mabingwa wakikabidhiwa hamuonekani, mnakuwaga wapi wanetu?[emoji3]
Subilini mnunuliwe tiketi na mwenyekiti wa mtaa uingizwe bure
 
Sold out bila ushindi ni sawa na mwanaume mwenye hela lakini hana nguvu za kiume.
 
Hivi hizi bei za Tiketi zikoje ukilinganisha na Yanga?
Simba: ticket zote sold out

Mzunguko - Tsh. 5,000
Machungwa - Tsh. 10,000
VIP C - Tsh. 20,000
VIP B - Tsh. 30,000
VIP A - Tsh. 40,000
Platinum - Tsh. 200,000.

Yanga:

Royal: 300,000 sold out
VVIP: 600,000. Sold out
VIP A: 50,000 Sold out
VIP B: 30,000
VIP C: 15,000
Machungwa: 10,000
Mzunguko: 5,000
 
SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.

Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.

Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy

Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.


***********************

Tayari SOLD OUT

UBAYA UBWELA

View attachment 3057798
Yanga sc is silent killer, malizine siku yenu kwanza
 
Wazee wa bure mmekumbukwa

[emoji599] Young Africans SC kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa Damu Salama kesho Alhamisi kutakuwa na zoezi la uchangiaji Damu.

Zitatolewa tiketi za bure kwa mashabiki na wanachama wa Yanga wote watakaoshiriki.
 
Back
Top Bottom