Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hii ndio kitu pekee Gongowazi mnaweza hata Manara aliwahi kusema.Sasa kinakuwasha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio kitu pekee Gongowazi mnaweza hata Manara aliwahi kusema.Sasa kinakuwasha nini?
🤣🤣🤣Sisi wananchi tunasubiri kuingizwa bure maana tushazoea dezo
🖕Hiyo donati inakuwasha?
Wanataka kupata tu cheap engement! hakuna cha sold out pale😀😀Sold Out ya Simba ni ya mchongo, wala haishtui.
Ndio lugha za mapunga hizoDonati tena mkuu?
Utopolo ndo wanaingizwa mi naigizana wewe unakubali kuingizwa?
Kudadadeq nyamwi againSs yetu makombe😅 #🖐️#
Kazi kweli kweli, wengine wanaingizwa bure, huku wengine wanaingizwa kwa pesa. Bora sisi wengine tupo tupo tu hatuingizwi kwa pesa wala kwa bure. Dabil wewe si ni Simba? Kama ni Simba basi utaingizwa kwa pesa sio bure.Sisi wananchi tunasubiri kuingizwa bure maana tushazoea dezo
Huwa wanatangaza zimekwishwa ila siku ya mechi uwanja inakuwa mtupu, sio WA kuwaamini hao
Mwaka jana walifanya hivo
Kwahiyo unanunua tiketi ili iweje?kuuza tiketi na kujaza uwanja ni vitu tofauti unaweza nunua na usiende
Mkuu mi ni Simba damu,hii ya bure inawaathiri wenzetu,watu wananunua tikect za VIP mwisho wa siku wengine wanaingizwa bure na wale wa VIP wanakosa kuingia na kufurumushwa na mabomu na wana tickets, nani atarudi mtu akikutana na huo usumbufuKazi kweli kweli, wengine wanaingizwa bure, huku wengine wanaingizwa kwa pesa. Bora sisi wengine tupo tupo tu hatuingizwi kwa pesa wala kwa bure. Dabil wewe si ni Simba? Kama ni Simba basi utaingizwa kwa pesa sio bure.
Swala la kuwafanya mashabiki waingie bure ndicho kinachowalemaza mashabiki wa Yanga. Na ndio chanzo cha kuwapoteza mashabiki wengi wenye nia za kuingiaga uwanjani. Hapa viongozi wa Yanga sio kwamba wanajenga bali wana bomoa.Mkuu mi ni Simba damu,hii ya bure inawaathiri wenzetu,watu wananunua tikect za VIP mwisho wa siku wengine wanaingizwa bure na wale wa VIP wanakosa kuingia na kufurumushwa na mabomu na wana tickets, nani atarudi mtu akikutana na huo usumbufu
Kuna watu wananunua tiketi nyingi ili walangue, sasa wakikosa wateja unategemea uwanja utajaa?Huwa wanatangaza zimekwishwa ila siku ya mechi uwanja inakuwa mtupu, sio WA kuwaamini hao
Mwaka jana walifanya hivo
Tulizeni mishono Wananchi hakunaga papara
HahahahaKudadadeq nyamwi again
Mfumo wa mauzo ya tiketi za mpirani kwa sasa huwa hakuna mwanya wa kufanya udanganyifu. Kubali haya matokeo b... ili mjiruhusu kujifunza katika hili.Sold Out ya Simba ni ya mchongo, wala haishtui.
Hata kaiser chiefs tiketi ziliisha siku tatu kabla matokeo yake walitawanyika kabla Mpira haujaisha.SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.
Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.
Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy
Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.
***********************
Tayari SOLD OUT
UBAYA UBWELA
View attachment 3057798