Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

Sisi wananchi tunasubiri kuingizwa bure maana tushazoea dezo
Kazi kweli kweli, wengine wanaingizwa bure, huku wengine wanaingizwa kwa pesa. Bora sisi wengine tupo tupo tu hatuingizwi kwa pesa wala kwa bure. Dabil wewe si ni Simba? Kama ni Simba basi utaingizwa kwa pesa sio bure.
 
Kazi kweli kweli, wengine wanaingizwa bure, huku wengine wanaingizwa kwa pesa. Bora sisi wengine tupo tupo tu hatuingizwi kwa pesa wala kwa bure. Dabil wewe si ni Simba? Kama ni Simba basi utaingizwa kwa pesa sio bure.
Mkuu mi ni Simba damu,hii ya bure inawaathiri wenzetu,watu wananunua tikect za VIP mwisho wa siku wengine wanaingizwa bure na wale wa VIP wanakosa kuingia na kufurumushwa na mabomu na wana tickets, nani atarudi mtu akikutana na huo usumbufu
 
Mkuu mi ni Simba damu,hii ya bure inawaathiri wenzetu,watu wananunua tikect za VIP mwisho wa siku wengine wanaingizwa bure na wale wa VIP wanakosa kuingia na kufurumushwa na mabomu na wana tickets, nani atarudi mtu akikutana na huo usumbufu
Swala la kuwafanya mashabiki waingie bure ndicho kinachowalemaza mashabiki wa Yanga. Na ndio chanzo cha kuwapoteza mashabiki wengi wenye nia za kuingiaga uwanjani. Hapa viongozi wa Yanga sio kwamba wanajenga bali wana bomoa.
 
Huwa wanatangaza zimekwishwa ila siku ya mechi uwanja inakuwa mtupu, sio WA kuwaamini hao

Mwaka jana walifanya hivo
Kuna watu wananunua tiketi nyingi ili walangue, sasa wakikosa wateja unategemea uwanja utajaa?
 
SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA.

Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni.

Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy

Mara nyingi wanasubiri kusikia;
Diwani kanunua tiketi 50.
Mwenyekiti wa mtaa kanunua tiketi 20.
Mjumbe wa mtaa kanunua tiketi 50 za kuwagawia mashabiki wa timu ya Yanga.


***********************

Tayari SOLD OUT

UBAYA UBWELA

View attachment 3057798
Hata kaiser chiefs tiketi ziliisha siku tatu kabla matokeo yake walitawanyika kabla Mpira haujaisha.
 
Back
Top Bottom