Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
AL AHLY (ADIDAS)
Wanadhaminiwa na kampuni ya kijerumani iitwayo ADIDAS ikumbukwe kuwa Adidas pia wanadhamini FC BAYERN MUNICH, FC SCHALKE 04, MAN UNITED, ARSENAL, LEICESTER CITY, JUVENTUS, REAL MADRID na timu KUBWA zingine nyingi
WYDAD AC(MACRON)
Wanadhaminiwa na kampuni ya kitaliano iitwayo MACRON makao makuu yake ni Cresperano, Bologna, Italy, pia Macron wanadhamini CLUB BRUGGE, BLACKBURN ROVERS , REAL SOCIEDAD, AL NASRI YA OMAN, FC NANTES na timu KUBWA nyingine nyingi
ESPERANCE DE TUNIS(KAPPA)
Wanadhaminiwa na kampuni ya kiitaliano iitwayo KAPPA ambao pia wanaidhamini AS MONACO, LIGI YA BRAZIL, TIMU YA TAIFA YA TUNISIA na timu nyingine nyingi nyingi
MAMELODY( PUMA)
Wanadhaminiwa na kampuni ya Kijerumani iitwayo PUMA Wanamdhamini NEYMAR wa BRAZIL, pia klabu ya MANCHESTER CITY FC, OLYMPIC MARSEILLE
SIMBA SC(SANDALAND )
UNYAMA MWINGI NGUVU MOJA wanadhaminiwa na SANDALAND (Sunderland?) ambao ni washkaji fulani hivi wa Msimbazi kariakoo na kabla ya hapo walikuwa na Dizaina mmoja maarufu sana duniani Vunja bei
Wanadhaminiwa na kampuni ya kijerumani iitwayo ADIDAS ikumbukwe kuwa Adidas pia wanadhamini FC BAYERN MUNICH, FC SCHALKE 04, MAN UNITED, ARSENAL, LEICESTER CITY, JUVENTUS, REAL MADRID na timu KUBWA zingine nyingi
WYDAD AC(MACRON)
Wanadhaminiwa na kampuni ya kitaliano iitwayo MACRON makao makuu yake ni Cresperano, Bologna, Italy, pia Macron wanadhamini CLUB BRUGGE, BLACKBURN ROVERS , REAL SOCIEDAD, AL NASRI YA OMAN, FC NANTES na timu KUBWA nyingine nyingi
ESPERANCE DE TUNIS(KAPPA)
Wanadhaminiwa na kampuni ya kiitaliano iitwayo KAPPA ambao pia wanaidhamini AS MONACO, LIGI YA BRAZIL, TIMU YA TAIFA YA TUNISIA na timu nyingine nyingi nyingi
MAMELODY( PUMA)
Wanadhaminiwa na kampuni ya Kijerumani iitwayo PUMA Wanamdhamini NEYMAR wa BRAZIL, pia klabu ya MANCHESTER CITY FC, OLYMPIC MARSEILLE
SIMBA SC(SANDALAND )
UNYAMA MWINGI NGUVU MOJA wanadhaminiwa na SANDALAND (Sunderland?) ambao ni washkaji fulani hivi wa Msimbazi kariakoo na kabla ya hapo walikuwa na Dizaina mmoja maarufu sana duniani Vunja bei