king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,178
- 2,033
Najua unaongea hivyo kujifariji tu. Ila kiuharisia mavi yanagonga chupi.Naitamani YANGA mpaka natoka jasho.. Nataka nayo ilishwe saba nunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua unaongea hivyo kujifariji tu. Ila kiuharisia mavi yanagonga chupi.Naitamani YANGA mpaka natoka jasho.. Nataka nayo ilishwe saba nunge
Ukweli mchungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wao wenyewe mbumbumbu fc wanaombea tutolewe ili tusikutane aibu ikawapata upyaaaa.Zipo Timu Yanga Itaogopa Kucheza Nazo ila Siyo Nyie Aisee [emoji23][emoji23][emoji23], Hakuna Timu Yanga Imeifunga Mara Nyingi Zaidi Hapa Bongo Kama Simba [emoji23][emoji23]
Mayele huyu huyu anaeshangilia hadi anavua boksa, wakati triple c magoli kwake kitu cha kawaida sana haitaji hata kurukaruka km kuku mwenye kideri.Tunawatamani sana hawa mikia....mayele peke yake ni sawa na kagere,chama,sako,kocha,morison,boco,mashabiki,refa,waganga na ahmed ally
Game iliisha 0 - 0Zile goli 9 za Unguja hazipo kwenye kumbukumbu zenu?
Kwa hiyo Utopolo mlishinda 0-0 ?Game iliisha 0 - 0
Mfano Ile Game Ya Ligi Walikuwa Wanaogopa Vby Na Walijua Hawaponi Ndo Maana Walishangalia Kinoma Ile Sare [emoji23][emoji23], ila Round Hii Tukikutana Wanapotea Na Mayele Lazima Awatie Tena Mark My Words.Ukweli mchungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wao wenyewe mbumbumbu fc wanaombea tutolewe ili tusikutane aibu ikawapata upyaaaa.
NdioKwa hiyo Utopolo mlishinda 0-0 ?
Nyie nae huwa mnaongea nini wakati mlitia Taifa aibu kubwa kwa kufumuliwa ndani na nnje😂Mnatuweza??
Note: Yanga Hajafungwa Mpaka Sasa.
kwani shida iko wapi coz lazima mwisho wa siku apatikane mmoja kuwa bingwa.1. Geita gold
2.Kagera sugar
3.Simba
4.Young Africans sc
5. Pamba fc
6. Coastal union
7.Polisi Tanzania
8.Azam fc
unatamani timu gani zikutane? me nataman tukutane na watoto wa rose mhando
Ngoja siku tukikutana na nyinyi mtatoa majibu ni lini monchwari paliwai kupigwa bomu!Ww huiogopi hii YANGA? kupiga bomu mortuary ndo kunakuaminisha kuwa unaweza kupambana na YANGA hii. Sisi tunawachora tu mjichanganye tu.
Labda kama kufungwa jela ila kama kufungwa magoli mshafungwa sema ni kujisahaulisha tu.Mnatuweza??
Note: Yanga Hajafungwa Mpaka Sasa.
Matokeo ya Simba yanawatesa sana Yanga. Ikishinda moja Ni Simba mbovu, ikishinda zaidi ya 3 au 4 basi umepiga bomu mochwari.Ngoja siku tukikutana na nyinyi mtatoa majibu ni lini monchwari paliwai kupigwa bomu!
Naunga Mkono Hoja.....ule Pira ni Mwingi Sana..! Ruvu Wasilaumiwe...hata Kidogo!
Mara Ya Mwisho Kupoteza Mechi Ni Mwezi Wa 9 Mwaka Jana 2021.NAWAKUMBUSHA YANGA HAJAPOTEZA MCHEZO MPAKA SASA.
Kwahiyo Tukubaliane Kabisa Timu Yako Tayari Gari Limewaka?tuanzie hapo hapo Simba Vs Utopolo kazi iishe mapema.zibaki kazi mbili tu kwa Simba Ligi ya NBC na Caf.
Zile goli 9 za Unguja hazipo kwenye kumbukumbu zenu?