Timu ambayo haijawahi kufika fainali mashindano yoyote makubwa kujilinganisha na timu yenye medali za CAF

Timu ambayo haijawahi kufika fainali mashindano yoyote makubwa kujilinganisha na timu yenye medali za CAF

Makolo wana medali ya Abiola cup, medali zipo kama vizibo vya mo extra
Waliosema Utopolo FC hawakukosea. Hiyo medali maana yake ni kuwa wewe ni dhaifu na ulishindwa kucheza Champion League.
Timu kama Al Ahly, Wydad au Mamelod ingekuwa ndiyo Yanga, kuna watu walikuwa wanafukuzwa kazi.
Umepangwa ucheze Champion League. Ukatolewa na Al hilal ukaenda kucheza shirikisho (league walioshindwa kucheza champion ambako kuna timu kubwa). Umepata medali halafu unatamba?😀😀😀😁😁
  • Kipindi Simba inacheza shirikisho, yanga walicheza mechi mbili ikatolewa
  • Kipindi Simba anacheza Champion league Yanga yupo anacheza shirikisho ametolewa Champion Laegue.
Angalia kipindi Yanga anachukua medali za Loosers' cup, Simba alikuwa wapi?
- Kipindi Simba anacheza AFL, Yanga yupo amekalisha matako.
Ndiyo ujue Simba ni timu bora kuliko Yanga
 
Kwakweli inashangaza sana mkuu....ila. naskia wamewahi kufika fainali ya Abiola ndondo cup....

But medal hawakupewa
Waliosema Utopolo FC hawakukosea. Hiyo medali maana yake ni kuwa wewe ni dhaifu na ulishindwa kucheza Champion League.
Timu kama Al Ahly, Wydad au Mamelod ingekuwa ndiyo Yanga, kuna watu walikuwa wanafukuzwa kazi.
Umepangwa ucheze Champion League. Ukatolewa na Al hilal ukaenda kucheza shirikisho (league walioshindwa kucheza champion ambako kuna timu kubwa). Umepata medali halafu unatamba?😀😀😀😁😁
  • Kipindi Simba inacheza shirikisho, yanga walicheza mechi mbili ikatolewa
  • Kipindi Simba anacheza Champion league Yanga yupo anacheza shirikisho ametolewa Champion Laegue.
Angalia kipindi Yanga anachukua medali za Loosers' cup, Simba alikuwa wapi? Ndiyo ujue Simba bado ni timu bora kwa Yanga. Yanga ana mengi sana ya kujifunza kwa Simba. Mwenzako yupo Champion league wewe upo shirikisho halafu unakuja kumtambia medali. Huu ni utopolo
- Kipindi Simba anacheza AFL, Yanga yupo amekalisha matako.
Ndiyo ujue Simba ni timu bora kuliko Yanga
 
Waliosema Utopolo FC hawakukosea. Hiyo medali maana yake ni kuwa wewe ni dhaifu na ulishindwa kucheza Champion League.
Timu kama Al Ahly, Wydad au Mamelod ingekuwa ndiyo Yanga, kuna watu walikuwa wanafukuzwa kazi.
Umepangwa ucheze Champion League. Ukatolewa na Al hilal ukaenda kucheza shirikisho (league walioshindwa kucheza champion ambako kuna timu kubwa). Umepata medali halafu unatamba?😀😀😀😁😁
  • Kipindi Simba inacheza shirikisho, yanga walicheza mechi mbili ikatolewa
  • Kipindi Simba anacheza Champion league Yanga yupo anacheza shirikisho ametolewa Champion Laegue.
Angalia kipindi Yanga anachukua medali za Loosers' cup, Simba alikuwa wapi? Ndiyo ujue Simba bado ni timu bora kwa Yanga. Yanga ana mengi sana ya kujifunza kwa Simba. Mwenzako yupo Champion league wewe upo shirikisho halafu unakuja kumtambia medali. Huu ni utopolo
- Kipindi Simba anacheza AFL, Yanga yupo amekalisha matako.
Ndiyo ujue Simba ni timu bora kuliko Yanga
Medali unayo ya shirikisho?
Mwenzio Al Ahyl anayo
Screenshot_20231028-204856_Chrome.jpg
 
Huwa inashangaza sana kuona baadhi ya vilabu vya ukanda wa Afrika Mashariki kama FC Leopards, Azam, Gor mahia sijui Simba, APR n.k kuthubutu kujilinganisha na Yanga ambayo imepiga hatua kubwa sana katika bara la Afrika kiujumla kwa kutwaa medali na tuzo za kumwaga!

Walau Yanga unaweza kuiweka katika kundi moja na Mamelodi, Wydad na Al Ahly kwani wote walau wamefika fainali katika michuano mikubwa mikubwa barani Afrika na zinafanya vyema nje na ndani ya nchi zao japo Yanga inawazidi kwa kutwaa Ligi za ndani mara nyingi zaidi. Hii inathibitisha akili zao zinatia mashaka na si bure baadhi yao kuitwa majina ya Mbumbumbu fc
Hii nimeitoa mtandaoni kwa kukusaidia. Imechukua miaka 30 kwa yanga kuifia hii rekodi na 26 kucheza makundi club bingwa. Hizi rekodi zote unatakiwa kuziamkua
Screenshot_20231028-212207_Chrome.jpg
 
Huwa inashangaza sana kuona baadhi ya vilabu vya ukanda wa Afrika Mashariki kama FC Leopards, Azam, Gor mahia sijui Simba, APR n.k kuthubutu kujilinganisha na Yanga ambayo imepiga hatua kubwa sana katika bara la Afrika kiujumla kwa kutwaa medali na tuzo za kumwaga!

Walau Yanga unaweza kuiweka katika kundi moja na Mamelodi, Wydad na Al Ahly kwani wote walau wamefika fainali katika michuano mikubwa mikubwa barani Afrika na zinafanya vyema nje na ndani ya nchi zao japo Yanga inawazidi kwa kutwaa Ligi za ndani mara nyingi zaidi. Hii inathibitisha akili zao zinatia mashaka na si bure baadhi yao kuitwa majina ya Mbumbumbu fc
Tumia akili zako vizuri ndugu hao Mamelodi au Al ahly wanapewa sifa kutokana na michuano ya champions league na sio shirikisho.

Je ukiitoa Yanga, hao USMA waliochukua ubingwa umewaona ata wakiwekwa kwenye kundi moja na kina Al ahly, Mamelodi au Wydad au ni nyie tu wabongo mnataka kujibatiza kwa moto?
 
Huwa inashangaza sana kuona baadhi ya vilabu vya ukanda wa Afrika Mashariki kama FC Leopards, Azam, Gor mahia sijui Simba, APR n.k kuthubutu kujilinganisha na Yanga ambayo imepiga hatua kubwa sana katika bara la Afrika kiujumla kwa kutwaa medali na tuzo za kumwaga!

Walau Yanga unaweza kuiweka katika kundi moja na Mamelodi, Wydad na Al Ahly kwani wote walau wamefika fainali katika michuano mikubwa mikubwa barani Afrika na zinafanya vyema nje na ndani ya nchi zao japo Yanga inawazidi kwa kutwaa Ligi za ndani mara nyingi zaidi. Hii inathibitisha akili zao zinatia mashaka na si bure baadhi yao kuitwa majina ya Mbumbumbu fc
Aliyewamanua leo tumemmanua
 
Huwa inashangaza sana kuona baadhi ya vilabu vya ukanda wa Afrika Mashariki kama FC Leopards, Azam, Gor mahia sijui Simba, APR n.k kuthubutu kujilinganisha na Yanga ambayo imepiga hatua kubwa sana katika bara la Afrika kiujumla kwa kutwaa medali na tuzo za kumwaga!

Walau Yanga unaweza kuiweka katika kundi moja na Mamelodi, Wydad na Al Ahly kwani wote walau wamefika fainali katika michuano mikubwa mikubwa barani Afrika na zinafanya vyema nje na ndani ya nchi zao japo Yanga inawazidi kwa kutwaa Ligi za ndani mara nyingi zaidi. Hii inathibitisha akili zao zinatia mashaka na si bure baadhi yao kuitwa majina ya Mbumbumbu fc
Umeanza kushabikia mpira baada ya GSM kuja yanga,mwaka 1993 ulikuwa unachunga mbuzi mbwinde na shatii oversize bila kaptura na govi linaning'inia.
 
Kumbe hiyo nayo siku hizi ni medali

Aahaaaaaa
Mashindano makubwa
1. African Football League (AFL)
2. CAF Champion League
3. CAF Confederation CUP
Kipindi unacheza fainal ya Confederation (3), Simba anacheza Champion League kwa maana nyingine Yanga anafanya mtihani wa darasa 4, Simba anafanya mtihani wa darasa la 5. Hapo utalewa
Mtu aliyecheza Champion league mpk robo fainal ni zaidi ya kombe la Confederation na medal za Confederation.
Kwa maana nyingine timu iliyocheza UEFA champion league mpk robo ni bora kuliko aliyecheza fainal au kuchukua kombe EUROPA League.
Ingekuwa hiyo medali kipind Yanga anachukua na Simba angekuwa Confederation.
Sasa, wewe una medali ya shirikisho na unajiona ni timu kubwa mbona kwenye African Footbal league haupo? USM Alger yupo AFL? 😁😁😁😁😁 Hapo si mepewa shanga tu.
 
Mashindano makubwa
1. African Football League (AFL)
2. CAF Champion League
3. CAF Confederation CUP
Kipindi unacheza fainal ya Confederation (3), Simba anacheza Champion League kwa maana nyingine Yanga anafanya mtihani wa darasa 4, Simba anafanya mtihani wa darasa la 5. Hapo utalewa
Mtu aliyecheza Champion league mpk robo fanainal ni zaidi ya kombe la Confederation na medal za Confederation.
Kwa maana nyingine timu iliyocheza UEFA champion league mpk robo ni bora kuliko aliyecheza fainal au kuchukua kombe EUROPA League.
Ingekuwa hiyo medali kipind Yanga anachukua na Simba angekuwa Confederation.
Sasa, wewe una medali ya shirikisho na unajiona ni timu kubwa mbona kwenye African Footbal league haupo? USM Alger yupo AFL? 😁😁😁😁😁 Hapo si mepewa shanga tu.
Aaaahaaa
 
Medali ni kwenye riadha.Haya umeonyeshwa ushahidi njoo tena na uharo.Utopolo na Ihefu lini?Ndio tabu ya kuanza kupenda mpira mwaka 2015.
 
Back
Top Bottom