Timu bora imepoteza mechi kwa penalti, mashabiki na wanachama msihuzunike mnayo timu bora msimu huu

Timu bora imepoteza mechi kwa penalti, mashabiki na wanachama msihuzunike mnayo timu bora msimu huu

Najua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.
tengeneza timu tishio sana

Kwamaelezo haya ilitakiwa muwe mmeshinda hata goli 15 maana mpinzani wenu hana zuri hata moja kwamujibu wamaelezo yako
 
Tatizo lenu mpira mnachezea mdomoni.
Mlipocheza shirikisho fainali basi mkaanza kumtambia aliyefika champion league robo fainal.
Pengo la Mayere limeonekana. Mlikuwa mnaongea sana km mefungiwa kipaza sauti.
Waswahili husema unapongea kumbuka kuweka maneno ya akiba
Upo emotional sana.........high emotions tends to remove intelligence...

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Najua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.

Yanga ikisharekebisha ilo eneo basi itakuwa imekamilika kwa 100% kupambana na timu yoyote ile barani africa, Leo simba amejikuta kama second team, viungo wake wote wamepotezwa vibaya sana, sikuona kapombe wala mohamed hussein wakipanda kama walivyozoea, kina miquison na chama walikuwa kama watumishi hewa, boco ntibanzokiza nao walikuwa kama awapo uwanjani walifichwa vibaya sana, Na mwisho ball possesion ni 56 kwa 44 ya simba!

Ninaamini yanga anakwenda kutetea tena ubingwa wake wa ligi kuu msimu huu bila shida yoyote ile, squad aliyonayo sio ya kitoto, ni hatari, na simba nawashauri ya kwamba bado wana kazi kubwa ya kufanya, kikosi kilichoanza kwa asilimia kubwa ni kile kile cha msimu uliopita na wanacheza mpira utafikiri ni timu mpya,
Kina baleke wamebaki majina tu na kina miksoni, akuna lolote la ziada waliloongeza, labda yule beki che malon angalau ana kitu alichokiongeza.

Pongezi kwa kocha Gamondi kazi yake inaonekana anatengeneza timu tishio sana
Timu tishio hawezi maliza dk 90 ikihangaishwa na timu mbovu chukulia mfano man city au ile Barcelona ya kuanzia 2008 zikiwa kwenye ubora wao hakuna timu ilikuwa inatoboa, game inamalizwa within 90minutes , ..ukweli ni kwamba yanga iko overrated sana hata ile fainali walifika kwa fluke tu
 
Timu bora inashika nafasi ya ngapi kwa viwango vya CAF? na hiyo second unayoisema inashika nafasi ya ngapi!? Sema nimekuelewa ni kutaka kujifariji. Yanga kama mna team nzuri ya kuifunga Simba mlikuwa na kila sababu ya kushinda. Kwanini mlishindwa mpaka mkaruhusu kwenda matuta wakati mliwazidi karibia kila kitu wapinzani wenu? Maana yake na ninyi ni wabovu kama simba tu! Team mbovu ilidhibitiwa na wabovu. By the way hata leo mlisema ni suala la muda tu lazima mchukue kombe, naona lugha imeanza kubadilika
 
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third,
Hapo hapo kwenye tatizo ndipo wapinzani wenye akili zao wanapopatumia. Soka ni mchezo wa makosa, ukiwa mdhaifu eneo fulani si utetezi, unaadhibiwa kwa udhaifu huo huo. Timu bora imechukua Ngao ya Hisani, nyingine hizi ni kelele
 
Najua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.

Yanga ikisharekebisha ilo eneo basi itakuwa imekamilika kwa 100% kupambana na timu yoyote ile barani africa, Leo simba amejikuta kama second team, viungo wake wote wamepotezwa vibaya sana, sikuona kapombe wala mohamed hussein wakipanda kama walivyozoea, kina miquison na chama walikuwa kama watumishi hewa, boco ntibanzokiza nao walikuwa kama awapo uwanjani walifichwa vibaya sana, Na mwisho ball possesion ni 56 kwa 44 ya simba!

Ninaamini yanga anakwenda kutetea tena ubingwa wake wa ligi kuu msimu huu bila shida yoyote ile, squad aliyonayo sio ya kitoto, ni hatari, na simba nawashauri ya kwamba bado wana kazi kubwa ya kufanya, kikosi kilichoanza kwa asilimia kubwa ni kile kile cha msimu uliopita na wanacheza mpira utafikiri ni timu mpya,
Kina baleke wamebaki majina tu na kina miksoni, akuna lolote la ziada waliloongeza, labda yule beki che malon angalau ana kitu alichokiongeza.

Pongezi kwa kocha Gamondi kazi yake inaonekana anatengeneza timu tishio sana
IMG-20230813-WA0117.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.
hapa naomba nikukosoe, ukweli ni kwamba beki bora ya simba ndo imeifanya yanga ionekane haina foward hasa che Malone, ...huyo konkoni mbona aliingia lakini sikumwona tena toka aingie mpaka mpira unaisha na sijui kama hata aligusa mpira
 
Back
Top Bottom