Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.
tengeneza timu tishio sana
Kwenye penati kuna kuchezea mpira shukuru penati hazinaga mbambamba
Yanga kana Manchester city kufungwa na Asenakwenye penati lakini timu bora pigia mstari.
Upo emotional sana.........high emotions tends to remove intelligence...Tatizo lenu mpira mnachezea mdomoni.
Mlipocheza shirikisho fainali basi mkaanza kumtambia aliyefika champion league robo fainal.
Pengo la Mayere limeonekana. Mlikuwa mnaongea sana km mefungiwa kipaza sauti.
Waswahili husema unapongea kumbuka kuweka maneno ya akiba
Timu tishio hawezi maliza dk 90 ikihangaishwa na timu mbovu chukulia mfano man city au ile Barcelona ya kuanzia 2008 zikiwa kwenye ubora wao hakuna timu ilikuwa inatoboa, game inamalizwa within 90minutes , ..ukweli ni kwamba yanga iko overrated sana hata ile fainali walifika kwa fluke tuNajua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.
Yanga ikisharekebisha ilo eneo basi itakuwa imekamilika kwa 100% kupambana na timu yoyote ile barani africa, Leo simba amejikuta kama second team, viungo wake wote wamepotezwa vibaya sana, sikuona kapombe wala mohamed hussein wakipanda kama walivyozoea, kina miquison na chama walikuwa kama watumishi hewa, boco ntibanzokiza nao walikuwa kama awapo uwanjani walifichwa vibaya sana, Na mwisho ball possesion ni 56 kwa 44 ya simba!
Ninaamini yanga anakwenda kutetea tena ubingwa wake wa ligi kuu msimu huu bila shida yoyote ile, squad aliyonayo sio ya kitoto, ni hatari, na simba nawashauri ya kwamba bado wana kazi kubwa ya kufanya, kikosi kilichoanza kwa asilimia kubwa ni kile kile cha msimu uliopita na wanacheza mpira utafikiri ni timu mpya,
Kina baleke wamebaki majina tu na kina miksoni, akuna lolote la ziada waliloongeza, labda yule beki che malon angalau ana kitu alichokiongeza.
Pongezi kwa kocha Gamondi kazi yake inaonekana anatengeneza timu tishio sana
Teseka taratibuuuu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba haijacheza wala haijachezea.
Tarh 17 mna mechi ugenini, jiandaeni.
Hapo hapo kwenye tatizo ndipo wapinzani wenye akili zao wanapopatumia. Soka ni mchezo wa makosa, ukiwa mdhaifu eneo fulani si utetezi, unaadhibiwa kwa udhaifu huo huo. Timu bora imechukua Ngao ya Hisani, nyingine hizi ni keleleYanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third,
Imeenda hiiUbora wa timu ni ubingwa....the rest huwa ni statistics ambazo hazina faida yoyote...
Kama possession ingekuwa ndio kipimo cha ubora basi Barca na Arsenal ndo zingekuwa team bora zaidi duniani.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Watakufa yanga kwa preshaTeseka taratibuuuu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi kukuelewa.Unaweza ukaachiwa uchezee mpira usio na malengo ukajikuta unasifia umiliki kwenye nusu yako.Kuna tofauti ya kucheza mpira na kuchezea mpira, ila mwisho timu bora huwa inashinda.
Najua wanachama na mashabiki mmehuzunika kupoteza ngao leo lakini huzuni yenu itakwisha siku sio nyingi!
Yanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.
Yanga ikisharekebisha ilo eneo basi itakuwa imekamilika kwa 100% kupambana na timu yoyote ile barani africa, Leo simba amejikuta kama second team, viungo wake wote wamepotezwa vibaya sana, sikuona kapombe wala mohamed hussein wakipanda kama walivyozoea, kina miquison na chama walikuwa kama watumishi hewa, boco ntibanzokiza nao walikuwa kama awapo uwanjani walifichwa vibaya sana, Na mwisho ball possesion ni 56 kwa 44 ya simba!
Ninaamini yanga anakwenda kutetea tena ubingwa wake wa ligi kuu msimu huu bila shida yoyote ile, squad aliyonayo sio ya kitoto, ni hatari, na simba nawashauri ya kwamba bado wana kazi kubwa ya kufanya, kikosi kilichoanza kwa asilimia kubwa ni kile kile cha msimu uliopita na wanacheza mpira utafikiri ni timu mpya,
Kina baleke wamebaki majina tu na kina miksoni, akuna lolote la ziada waliloongeza, labda yule beki che malon angalau ana kitu alichokiongeza.
Pongezi kwa kocha Gamondi kazi yake inaonekana anatengeneza timu tishio sana
Hahahaha imeenda hiyo, pigia mstari. Maumivu ya kichwa yakizidi muone daktari.Yanga kana Manchester city kufungwa na Asenakwenye penati lakini timu bora pigia mstari.
Timu bora haiwezi zuiwa na timu mbovu, .......siku hizi mpira umebadilika unachezwa kwa mbinu na malengo sio wachezaji kukimbia hovyo uwanjani utafikiri ng'ombe waliong'atwa na nyukiSure yanga mnatimu bora sana!
hapa naomba nikukosoe, ukweli ni kwamba beki bora ya simba ndo imeifanya yanga ionekane haina foward hasa che Malone, ...huyo konkoni mbona aliingia lakini sikumwona tena toka aingie mpaka mpira unaisha na sijui kama hata aligusa mpiraYanga wameonyesha bado wanacho kikosi bora sana kuanzia beki na viungo but tatizo lipo kwenye final third, ambalo nafikiri kocha gamond anatakiwa alifanyie kazi, na aanze kumtumia Hafidh konkoni pale kati badala ya mzize maana Mzize bado hana ukomavu kwenye kuamua matokeo pindi timu inapohitaji uwezo binafsi wa mchezaji.