William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Ukipanga timu ishirini Bora Afrika kwenye rank za CAF ni timu 2 tu ndizo zinacheza shirikisho, Piramid 10 na Asec ya 20 wengine wote hawamo ata moja ivi mnapata wapi nguvu ya kuelezea ubora wa Yanga wenu hapo? Tp mazembe kashinda mechi 1 tu makundi ndio wa kuzungumzia.
Clab bingwa yamebaki mabingwa tupu. Ya kwanza adi 8 kwenye renk za CAF amekosekana moja tu berkane.
Zilizobaki Ni
1 Aly hilal
2Wc Casablanca
3 Raja
4. Experence Tunis
5. Mamelod
6. Rc belouzidad
8. Simba
12 .J Kabilye
Kuna kitu watu hawajui. Timu zote zilizobaki shirikisho hakuna iliyojuu kwenye rank za CAF juu ya Simba kifupi mwaka huu hakuna timu yoyote Bora iliyobaki shirikisho
Clab bingwa yamebaki mabingwa tupu. Ya kwanza adi 8 kwenye renk za CAF amekosekana moja tu berkane.
Zilizobaki Ni
1 Aly hilal
2Wc Casablanca
3 Raja
4. Experence Tunis
5. Mamelod
6. Rc belouzidad
8. Simba
12 .J Kabilye
Kuna kitu watu hawajui. Timu zote zilizobaki shirikisho hakuna iliyojuu kwenye rank za CAF juu ya Simba kifupi mwaka huu hakuna timu yoyote Bora iliyobaki shirikisho