Timu dhaifu tupu ndio zimebaki shirikisho. Hakuna inayoizidi Simba kwenye rank za CAF 2023

Timu dhaifu tupu ndio zimebaki shirikisho. Hakuna inayoizidi Simba kwenye rank za CAF 2023

Muda wao utafika tu. Mana kila neno la kwao. Walianzaga kusema yanga kundi lile chapati hata point 1. Tukapigwa na monastrine kila kona goli wakasema tutafungwa 100. Kaja mazembe kawekwa vyombo vya motooo vi3 na simba na Mavi yao yote hajawahi kumfunga mazembe wakasema sio maze.mbe walee. Leo hii wanataka kujilinganisha na yanga kisa wao wapo klabu bingwa. Hawa kima tu... N kama wanabisha walete timu yao
Huyo Mazembe aliyepigwa na Vipers akashuka shirikisho halafu vipers akapigwa nje ndani na Simba.

Sasa hapo nani mkubwa? Vipers aliwakanda Yanga pale Taifa siku ya mwananchi lakini Simba kamkanda mume wenu nje ndani.
 
Huyo Mazembe aliyepigwa na Vipers akashuka shirikisho halafu vipers akapigwa nje ndani na Simba.

Sasa hapo nani mkubwa? Vipers aliwakanda Yanga pale Taifa siku ya mwananchi lakini Simba kamkanda mume wenu nje ndani.
Simba yupi anae pigwa na Azam?
 
Point zenyewe ndio zile zilikusanywa dhidi ya Geita gold
Mkuu sio Geita gold pekee hadi mechi ya Azam marejeo ya picha mpira ulipopigwa ulikuwa nje kabisa ya touchline ukarudishwa ndani ndo Yanga wakapata goli.

Vinginevyo Yanga alikuwa amelala goli 2 kwa 1. Sasa hadi hapo tu mtu kabebwa points karibu 4 bado mechi kibao alizoshinda kwa mashaka matupu.
 
Unazungumzia mechi za NBC wakati penati zinatolewa nje ya eneo la 18? (Geita Gold v Yanga).

Unazungumzia magoli yanayopatikana baada ya mpira kutoka nje ya touchline? (Yanga v Azam).
Kipindi mnachukua miaka 4 referees walikua kina nani?
 
Muda wao utafika tu. Mana kila neno la kwao. Walianzaga kusema yanga kundi lile chapati hata point 1. Tukapigwa na monastrine kila kona goli wakasema tutafungwa 100. Kaja mazembe kawekwa vyombo vya motooo vi3 na simba na Mavi yao yote hajawahi kumfunga mazembe wakasema sio maze.mbe walee. Leo hii wanataka kujilinganisha na yanga kisa wao wapo klabu bingwa. Hawa kima tu... N kama wanabisha walete timu yao
Hawa kima kweli hawa.
 
Ukipanga timu ishirini Bora Afrika kwenye rank za CAF ni timu 2 tu ndizo zinacheza shirikisho, Piramid 10 na Asec ya 20 wengine wote hawamo ata moja ivi mnapata wapi nguvu ya kuelezea ubora wa Yanga wenu hapo? Tp mazembe kashinda mechi 1 tu makundi ndio wa kuzungumzia.

Clab bingwa yamebaki mabingwa tupu. Ya kwanza adi 8 kwenye renk za CAF amekosekana moja tu berkane.
Zilizobaki Ni

1 Aly hilal
2Wc Casablanca
3 Raja
4. Experence Tunis
5. Mamelod
6. Rc belouzidad
8. Simba
12 .J Kabilye

Kuna kitu watu hawajui. Timu zote zilizobaki shirikisho hakuna iliyojuu kwenye rank za CAF juu ya Simba kifupi mwaka huu hakuna timu yoyote Bora iliyobaki shirikisho
Ngoja wafakamia mihogo kwa maji waje na povu kama la omo vile

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huyo Mazembe aliyepigwa na Vipers akashuka shirikisho halafu vipers akapigwa nje ndani na Simba.

Sasa hapo nani mkubwa? Vipers aliwakanda Yanga pale Taifa siku ya mwananchi lakini Simba kamkanda mume wenu nje ndani.
Wewe lete timu yako mana hao raja casablanca waliokufunga wewe wanakaliaga vidude wakikutana na monastir. yanga kamfunga monastir.
 
we timu kaioa jamaa mmoja hivi wa azam, yani sekunde ya 26 tu kashaikonyea kidude. na wachezaji wote wapooo.. kuna jamaa banda la video pale mwananyamala alilia ile gem
 
Hakuna timu bora halafu inashiriki shirikisho utopolo jueni hivyo. Ukiona Al ahly au mamelod wanashiriki shirikisho ni kwamba wameshuka viwango.
Ongezaaaa sautiiiii hadi kende zake zitikisike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muda wao utafika tu. Mana kila neno la kwao. Walianzaga kusema yanga kundi lile chapati hata point 1. Tukapigwa na monastrine kila kona goli wakasema tutafungwa 100. Kaja mazembe kawekwa vyombo vya motooo vi3 na simba na Mavi yao yote hajawahi kumfunga mazembe wakasema sio maze.mbe walee. Leo hii wanataka kujilinganisha na yanga kisa wao wapo klabu bingwa. Hawa kima tu... N kama wanabisha walete timu yao
Nyie mbna vipers hamjawahi mfunga?? Au huoni hiloo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie mbna vipers hamjawahi mfunga?? Au huoni hiloo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa si hivyo mambo mengine ya kuzungumzika tu. Vipers wenywew mnawaamini au kwa sabb sisi hatujawafunga tu?
 
Ukipanga timu ishirini Bora Afrika kwenye rank za CAF ni timu 2 tu ndizo zinacheza shirikisho, Piramid 10 na Asec ya 20 wengine wote hawamo ata moja ivi mnapata wapi nguvu ya kuelezea ubora wa Yanga wenu hapo? Tp mazembe kashinda mechi 1 tu makundi ndio wa kuzungumzia.

Clab bingwa yamebaki mabingwa tupu. Ya kwanza adi 8 kwenye renk za CAF amekosekana moja tu berkane.
Zilizobaki Ni

1 Aly hilal
2Wc Casablanca
3 Raja
4. Experence Tunis
5. Mamelod
6. Rc belouzidad
8. Simba
12 .J Kabilye

Kuna kitu watu hawajui. Timu zote zilizobaki shirikisho hakuna iliyojuu kwenye rank za CAF juu ya Simba kifupi mwaka huu hakuna timu yoyote Bora iliyobaki shirikisho
simba pambaneni wacheni mipasho,msimu huu yanga anachukua shirikisho anakuja kukupita iyo nafasi uliyopo kwasababu shirikisho hilo hilo ndo lililompandisha rank...ZUBAENI TU wenzenu wanacheza mpira wa kibingwa nyie mnacheza mpira wa robo fainali
 
Hivi hii Mshumbusi ni ile ya nyumbani kwa dr. Slaa?
Ni wewe uliyenyang'anywa chombo na mzee au?
Tuanzie hapo
😃 Atakuwa ndiyo huyu huyu! Hapa juzi kati alijifanya kuwa ni Wakiki wa Fei Toto. Baada ya kuona mambo ni magumu, amemkimbia.
 
Acha kutunisha mishipa ya kichwa na vtu vidogo ebu punguza jazba enjoy maisha
Km shirisho ni ligi ndogo bas endelea na kaz zako ya shilikisho waachie wana Yanga

Azam confederation cup ni kitu gan mbona mnashiriki ilo nalo ni kombe la shirikisho ktk level ya taifa
 
Back
Top Bottom