Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
walipwe wapi zaidi ya wao kutumia vifurushi vyao kuanzisha ubishani usiokuwa na tija yeyote. Wanafikia mpaka kutukanana na kupigana lakini mwisho wa siku hawaambulii hata thumni ya mafanikio ya huyo wanaodhani wanampigania.Hivi hizo team huwa mnalipwa.....? dah mjini kuna mengi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Haha mtani bhana hukosagi maneno weweHawa ndio watakaokanyaga steji ta MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
mil150 kiba?Rekebisha, Vanessa hatakuwepo, uwezo mdogo alaf anataka M150 kama alizopewa kiba, promoter kamchomole nje.
[HASHTAG]#ChrisWizKiba[/HASHTAG]
ILA MIZOMBI IMEKAZANA TU OOOOOH ANATUMBUIZA NA CHRISS KAMA VILE WAO WAWILI TU,KUMBE KUNA LUUUUUUUUUUUNDO LA WASANII.Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Mkuu hujaandaa story sensitive nyingine ya Kijasusi utupe tuchangamke kidogo.Hawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Yoooooomil150 kiba?
kwa perfomance gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nimsaidie huyo jamaa,msimuonee bure, hivi unawezaje kumuona huyo jamaa kwenye kila uzi unaomtaja kiba,kama sio na wewe hupo kwenye hizo uzi ................. ( usiponijibu basi wewe na huyo jamaa,wewe ndio upo kwenye kila uzi unao muhusu huyo kiba,ila anawakera kwa vile hapendi ujinga ujinga.)Nilitaka kushangaa yani mkeleketwa namba moja wa WCB asije sehemu aliyoona katajwa Alikiba labda kama hana MB, huyu jamaa inawezekana anamchukia Alikiba kuliko ata Diamond mwenyewe, kama hizi team waga wanapokea mshahara basi huyu jamaa anastahili kuongoza kwa malipo
Anyway wakati kiba ye akiishia kupanda jukwaa moja na chris brown, mondi atapiga nae collabo kabisa maana mendezi (sallaam) yuko njiani kuelekea kenya
Hahaha!! Ila hongereni mtani, ndondondo si chururu..Haha mtani bhana hukosagi maneno wewe
Inakuja Mkuu..Mkuu hujaandaa story sensitive nyingine ya Kijasusi utupe tuchangamke kidogo.
Ha ha ha ha ha ha ha ilmradi kaimba YooooooHawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie
Umewasahau sauti sol naHawa ndio watakaokanyaga steji ya MombasaRocks Festival
1. Chris Bwrown
2. Wizkid
3. Vanessa Mdee (Amejitoa Jana, shoo ya kuuza sura, malipo kidunchu kwa wasanii wa East Africa)
4. El Shaqo
5. Nazizi
6. Navio
7. Ali Kiba (Huyu anashangilia kama anaenda peponi!! Yeye hajali malipo kidunchu au hajapewa VIP treatment kwenye hilo tamasha kama wenzake akina Wizkid! Yeye mwanakwetu alimradi akauze sura tu... Akirudi ukimuuliza atakwambia amelipwa Bilioni 1 [emoji1] [emoji1] )
Cc: peterchoka Shardcole samsun Evelyn Salt
mzurimie