Timu Diamond mjinyonge, Alikiba jukwaa moja na Chris Brown

Manager keshawauwa huko wamebaki kupaniki.
 
Angali hii,halafu sio nchi moja HIYO NI TOUR NDEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEFU.
 
Baada ya show tim kibakuli watakuja sema show ilijazwa na kibakuli
 
Ukiingia kwa sallam ndio utawakuta hivo, na full mapovu.
Hahaha nimeona yaani mashabiki wa kiba wanataka siku kiba akiwa na tukio diamond anatakiwa asipost kitu chochote kwasababu ataamisha attention.
Hawataki kabisa diamond apost kitu
 
Hahaha nimeona yaani mashabiki wa kiba wanataka siku kiba akiwa na tukio diamond anatakiwa asipost kitu chochote kwasababu ataamisha attention.
Hawataki kabisa diamond apost kitu
Na leo kawapa kazi haswa ya kutoa MAPOVU, nadhani sasa hivi SALLAM wanamchukia zaidi ya MOND.
 
Bombadia na Boeing zote ni ndege lakini zipo katika levo tofauti!Bombadia hata mchangani inatua lakini boeing ina viwango vyake vya kutua ktk viwanja!Kama hali ndo ivi kinachotakiwa ni Kiba ajitahidi ili aweze fika au kupita levo za Mondi!TAFAKARI CHUKUA!
 
Diamond katoa ratiba yake ya kazi mpaka december 24 ipo instagram kule.. Anaeweza kudukua ailete hapa ili tuone nani fundi kuliko mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…