Timu Diamond mjinyonge, Alikiba jukwaa moja na Chris Brown

Mkubwa Fela kamfanyia fitna Ali Kiba ili asiperform vizuri kwenye tamasha la Mombasa. Inasikitisha kwa kweli.
 
Nyie mashabiki maandazi ndio mmesababisha kibakuli asifike mbali,badala akomae kujenga brand kama mwenzake alivyofanya kwa WCB,nyie mnaona ufahari kuperfom stage moja na msanii mkubwa

Kama mtu anavyoshangilia kushikana mkono na Rais!
 
[emoji443]Wanajenga majunguu tunajenga vibanda raaaaaaah![emoji443]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…