Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

Wakuu habari zenu.

Hivi kuna timu gani za mpira za hapa ndani za nje ya nchi yako unapendaga sana ziwe zinafungwa kila siku na kwanini?

Me kwa upande wangu timu kama Manchester united hiyo timu ikifungwa nashangilia kabisa nainuka kwenye kiti,maana kwenye mitadao yote wakishinda wanakuwa wanasifiwa kupitikiza yaani hata kama nikidogo tu record zao zote siku hiyo zitatafutwa tu zipostiwe.mpaka unashangaa hivi mbona timu fulani ilifanya kama hivi mbona aikusifiwa.kwenye mitandao wanaku wengi.mwisho wa siku kumbe timu yao ni ya kawaida wakianza kufungwa wanalala mikia kocha na wachezaji,wakishinda wanasahu kama timu yao ni ovyo kupitiliza.
wewe ni hater
 
Siipendi Manchester united pamoja na waume zao Madridiots sababu ya maneno ya mashabiki wao
wewe ni shabiki la Barca!!Umesema Man Utd ambao ni wanaume wana waume zao ambao ni Madrid,madrid nao wana waume zao ambao Barca...unakubali kila Mme ana mmewe??!!!
 
Hapana ila siipendi Yanga, timu yoyote ikicheza na Yanga mm nashingilia hiyo nyengine
Mimi ni mshabiki wa Mancity, ila timu yangu ikicheza na Man u, mashabiki wa Chelsea wanakuwa kwangu, na nikicheza na Chelsea, mashabiki wa man u wanakuwa wananisaporti. vivyohivyo nikicheza na arsenal, utasikia mashabiki wa Chelsea na man u wakisema ; Piga hao mbwa piga kabisa huyo wenga. yaani sijui sasa mm niichukie timu gani hapo.

Man city akiwa anataka kucheza na Man U , utasikia mashabiki wa Chelsea wakiwaambia mashabiki wa Man u, : leo mnaipata habari yenu leo;
 
Halafu timu ya Taifa ya Misri, yaani hata walivyofuzu kuingia WC nimechukia sana. Kwa kifupi Toto Africa, Arsenal, Yanga, na Misri zikibaki the only teams duniani, bora niache ushabiki wa kandanda.
 
Inafurahisha kuona kuwa Liverpool FC haichukiwi na maadui zake pamoja na kuwapatia dozi nzito nzito
 
Back
Top Bottom