Kolomije wa Dar
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 284
- 789
It seems unaichukia historia. Hao ni Mabingwa wa kihistoria wa ligi katika nchi zao.Man U na Yanga
wewe ni haterWakuu habari zenu.
Hivi kuna timu gani za mpira za hapa ndani za nje ya nchi yako unapendaga sana ziwe zinafungwa kila siku na kwanini?
Me kwa upande wangu timu kama Manchester united hiyo timu ikifungwa nashangilia kabisa nainuka kwenye kiti,maana kwenye mitadao yote wakishinda wanakuwa wanasifiwa kupitikiza yaani hata kama nikidogo tu record zao zote siku hiyo zitatafutwa tu zipostiwe.mpaka unashangaa hivi mbona timu fulani ilifanya kama hivi mbona aikusifiwa.kwenye mitandao wanaku wengi.mwisho wa siku kumbe timu yao ni ya kawaida wakianza kufungwa wanalala mikia kocha na wachezaji,wakishinda wanasahu kama timu yao ni ovyo kupitiliza.
wewe ni shabiki wa Arsenal au ChelseaMan u na barcelona
wewe ni shabiki la simbaMan U na Yanga
wewe ni Man UtdSiipendi Chelsea dah,
Hapana ila siipendi Yanga, timu yoyote ikicheza na Yanga mm nashingilia hiyo nyenginewewe ni shabiki la simba
wewe ni shabiki la Barca!!Umesema Man Utd ambao ni wanaume wana waume zao ambao ni Madrid,madrid nao wana waume zao ambao Barca...unakubali kila Mme ana mmewe??!!!Siipendi Manchester united pamoja na waume zao Madridiots sababu ya maneno ya mashabiki wao
sawa,basi wewe ni hater....hater ni yule ambae anamchukia mtu bila sababu au pengine kutokana na maendeleo aliyonayo huyo anayemchukiaHapana ila siipendi Yanga, timu yoyote ikicheza na Yanga mm nashingilia hiyo nyengine
Mimi ni mshabiki wa Mancity, ila timu yangu ikicheza na Man u, mashabiki wa Chelsea wanakuwa kwangu, na nikicheza na Chelsea, mashabiki wa man u wanakuwa wananisaporti. vivyohivyo nikicheza na arsenal, utasikia mashabiki wa Chelsea na man u wakisema ; Piga hao mbwa piga kabisa huyo wenga. yaani sijui sasa mm niichukie timu gani hapo.Hapana ila siipendi Yanga, timu yoyote ikicheza na Yanga mm nashingilia hiyo nyengine
Mashabiki wa mikia fc utawajua tuHapana ila siipendi Yanga, timu yoyote ikicheza na Yanga mm nashingilia hiyo nyengine
haiwez chukiwa kw vile wanakimbiza upepo tuu ubingwa wanawaachia wengine..Inafurahisha kuona kuwa Liverpool FC haichukiwi na maadui zake pamoja na kuwapatia dozi nzito nzito