Timu hizi zinaenda kufa

Timu hizi zinaenda kufa

Codeboy Breezy

Senior Member
Joined
Nov 8, 2018
Posts
193
Reaction score
329
Naanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa

1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani

2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya

3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.

I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them😥
 
Unaota mchana wewe.
Chelsea ife kwa sababu ya kuondoka wachezaji?

Aliondoka Drogba, akaondoka Hazard, akaondoka Fabrigas.
Na timu ikabeba UEFA.

ACHA AKILI FINYU NA KUTUJAZIA SERVER KWA KULETA MADA ZA KIPUUZI.
 
Unaota mchana wewe.
Chelsea ife kwa sababu ya kuondoka wa hezaji?

Aliondoka drogba,akaondoka Hazard,akaondoka fabrigas
Na timu ikabeba UEFA.


ACHA AKILI FINYU NA KUTUJAZIA SERVER KWA KULETA MADA ZA KIPUUZI.
Mada za kipuuzi okay shukrani 🙏
 
Naanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa

1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani

2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya

3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.

I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them[emoji26]
You are wrong
 
Naanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa

1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani

2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya

3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.

I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them[emoji26]

Iyo mashine Bernadeschi naikubali sana aiseee
 
Naanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa

1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani

2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya

3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.

I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them😥
Chelsea ife kwa kuondoka kwa Rudger..? Una wazimu 🤣🤣🤣🤣 wachezaji wameisha hi dunia..?
 
Ona hizi timu kongwe zilifanya makubwa sana na wakahama wachezaji nguli na tegemeo lakini mpaka leo hazijafa.
[emoji116]
Leeds Utd.
Newcastle Utd.
Bolton Wanderers.
 
Ona hizi timu kongwe zilifanya makubwa sana na wakahama wachezaji nguli na tegemeo lakini mpaka leo hazijafa.
[emoji116]
Leeds Utd.
Newcastle Utd.
Bolton Wanderers.
Kati ya hizo zote ulizotaja kuna hata moja inaweza kuwa title contender pale England?? 🤣
 
Back
Top Bottom