Chelsea inakufa kwa kukosa mmiliki mwenye kupenda mpira.Unaota mchana wewe.
Chelsea ife kwa sababu ya kuondoka wa hezaji?
Aliondoka drogba,akaondoka Hazard,akaondoka fabrigas
Na timu ikabeba UEFA.
ACHA AKILI FINYU NA KUTUJAZIA SERVER KWA KULETA MADA ZA KIPUUZI.
Mo ni bahili..? Hivi tz hii kuna tajiri alie sajili kwa garama wachezaji zaidi ya Mo.? Muwe mnazichuja fikra zenu kabla. 🚮🚮Chelsea inakufa kwa kukosa mmiliki mwenye kupenda mpira.
Walioichukua ni wafanya biashara kama akina MO ubahili mwingi.
Wangeichukua waarabu ungeona ambavyo ingekuwa ya moto maana wale wanapenda soka hawaoni shida kuwekeza.
Timu za wajuaji kama akina MO huwa zinateseka sana kuchukua makombe.
Baya munsheni kama inavyoitwa kikwao huijui wewe! Haiwezi kufa ni kama Yanga hapa Tanzania! Mwenyekiti wake lazima awe kutokana na mchezaji Mpira. Oliver Kahn ndiye wa sasaNaanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa
1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani
2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya
3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.
I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them😥
Kumbe kama Yanga?? Basi huenda ikafa kweli🤪Baya munsheni kama inavyoitwa kikwao huijui wewe! Haiwezi kufa ni kama Yanga hapa Tanzania! Mwenyekiti wake lazima awe kutokana na mchezaji Mpira. Oliver Kahn ndiye wa sasa
We unavyoona Manyua hajafa kweli?? Ndio maana sijamuweka kwa listi🤣🤣🤣Wasife Arsenal , Tusife Manchester , hakufa AC Milan ndio aje kufa Chelsea Bayern ..... Acha utoto
Either huujui mpira au umeanza kufuatilia soccer juziNaanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa
1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani
2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya
3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.
I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them😥
Mtoto huyoEither huujui mpira au umeanza kufuatilia soccer juzi
Sawa Shaffi DaudaNaanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa
1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani
2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya
3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.
I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them😥
Acha makasiriko chelsea fan🤣🤣🤣Cheki hii mbuzi imekaa baaada ya kushiba maaragwe ya mbeya imekalia ubongo wake inaandika kkwa kuitumia mat*ko
chelsea ina vipaji under 15, 17, 20's wengi sana haiwezi kufa leo wala kesho badala yake wewe ndio utakufa. RIP in advanceNaanza kwa masikitiko ya kinachoendelea katika timu hizi nikiona dalili ya kufa kwa hizi timu kutokana na kupoteza wachezaji wengi sana pasi na kufanya usajili mpaka sasa
1. Chelsea
Timu hii tayari wachezaji kadhaa wahaondoka ikiwemo Antonio Rudiger na Andreas Christensen na huku rumors zikiendelea za kuondoka kwa wachezaji wengine nyota wa klabu huu kama Alonso, Azpilcueta na Werner, mpaka hapo sioni tena ramani ya chelsea katika soka la ushindani
2. Bayern munich
Kuondoka kwa Robert Lewandowsiki na Nicolas Sule ni pigo kubwa ndani ya klabu ya Bayern na huku kukiwa na tetesi za kuondoka pia kwa wachezaji wengine kama Serge Gnabry pasi na kuwa na mbadala wao ni wazi huenda timu hii ikapotea kwenye ramani ya soma la Ulaya
3. Juventus
Hii ndio timu ninayoweza kusema imekufa kisoka kutokana na wachezaji wake mablimbali kuondoka kama vile Giorgio Chiellini, Paulo Dybala, Dejan Kulusevsiki, Federico Bernadeshi huku mbadala wake ukiwa bado ni fumbo ziti.
I feel sorry for the Chelsea football Club fans, me as among of them[emoji26]
Sawa Munguchelsea ina vipaji under 15, 17, 20's wengi sana haiwezi kufa leo wala kesho badala yake wewe ndio utakufa. RIP in advance