GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kama haitoshi hadi Wachezaji muhimu muhimu wakawa wanapeana Namba za Simu na Watunga Sheria wenye Umri Mdogo (wa Jinsia tofauti na Wao) na wale ambao Umri ulishawaacha.
Mpo Vitani huku mkijua anayewakimbizeni ana Nguvu ya Ziada kutoka kwa Mmiliki wa Chama chenye Rangi zinazofanana nao na Hela za Kuchezea kwakuwa Mdhamini wao anatoa Kodi pale tu anapojisikia halafu mnajisahau, mnaridhika na kujiamini kuwa tayari mmeshakuwa Mabingwa.
Hovyo kabisa......na wala nisiwafiche au kuwa Mnafiki ni bora tuachwe Alama (Points) 20 na Ken Gold FC GENTAMYCINE nina uhakika tutawapata na kuwapita nazo ila siyo kwa kuachwa Alama (Point) moja na hawa Waliotuacha rasmi leo kwani kwa kuwajua walivyo bora katika UMAFIA na PROPAGANDA niseme tu kuwa TAYARI SHUGHULI IMESHAISHA tuisubirie nafasi ya Pili au tuweke Mkazo kule CRDB (FA) Cup.
Mpo Vitani huku mkijua anayewakimbizeni ana Nguvu ya Ziada kutoka kwa Mmiliki wa Chama chenye Rangi zinazofanana nao na Hela za Kuchezea kwakuwa Mdhamini wao anatoa Kodi pale tu anapojisikia halafu mnajisahau, mnaridhika na kujiamini kuwa tayari mmeshakuwa Mabingwa.
Hovyo kabisa......na wala nisiwafiche au kuwa Mnafiki ni bora tuachwe Alama (Points) 20 na Ken Gold FC GENTAMYCINE nina uhakika tutawapata na kuwapita nazo ila siyo kwa kuachwa Alama (Point) moja na hawa Waliotuacha rasmi leo kwani kwa kuwajua walivyo bora katika UMAFIA na PROPAGANDA niseme tu kuwa TAYARI SHUGHULI IMESHAISHA tuisubirie nafasi ya Pili au tuweke Mkazo kule CRDB (FA) Cup.