MSIMU WA 2016/2017 SIMBA AKIWA NA NYEKUNDU ALIMGONGA UTO 2:1.Hebu fikiria wakati kadi nyekundu inatolewa, matokeo yalikuwa ni 1-1! Kiufupi tu, hakuna timu hapo.
MEI 6, 2012Simba kumleta kocha mpya, siyo jambo la kushtua. Maana mpaka sasa ni mwezi wa ngapi sijui huu, timu haina kocha wa kudumu!
Juma Mgunda tangu siku ya kwanza, alitambulishwa kama kocha wa muda (deiwaka), baada ya kocha wa wakati huo (Zoran wa Mlete Mzungu), kubwaga manyanga.
Sasa mbona hata nyinyi miaka michache baadaye mlibamizwa khamsa khamsa na Al Ahly na As Vita ya akina Bangala! Kuna jipya hapo?MEI 6, 2012
Simba 5-0 Yanga SC
WAFUNGAJI:
Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
(Ligi Kuu)
HAPA UTOPOLO WALIKUWA WOTE FULL NA WAKACHOMEKWA MIKO MITANO [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
FEBRUARI 26, 2017
Simba 2-1 Yanga
WAFUNGAJI:
YANGA: Simon Msuva (penalti) dk5
SIMBA: Laudit Mavugo dk66 na Shiza Kichuya dk81
HAPA SIMBA WALIKUWA PUNGUFU WAKAWASHINDILIA UTOPOLO MIKO MIWILI[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
UNA LINGINE?
Nilie tena! badala ya kufurahi kuendelea kuongoza lihi!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unalia ukiwa wapiiiiiii??? Afu usitoe sauti, lia taratibu. Poleeeeeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguruwe pori wapo kule kwa wavuta unga umbumbuniMechi na Geita gold walikua wangapi kiwanjani? Acha wivu nguruwe wewe
Wanajisahaulisha sana hawa pamoja na kubebwa walilouwaKadi nyekundu ndio ujinga gani yani mtu acheze madhambi halafu aachwe tu
NB: MSIMU WA 2016/2017 SIMBA AKIWA NA NYEKUNDU ALIMGONGA UTO 2:1.
Ha ha haaSasa mbona hata nyinyi miaka michache baadaye mlibamizwa khamsa khamsa na Al Ahly na As Vita ya akina Bangala! Kuna jipya hapo?
Kocha wa kigeni ni muhimu Sana.Maboresho kwenye timu ya SIMBA SC yanahitaji umakini sana.
Hakuna haja ya kuleta kocha atakuja kuvuruga timu, kikubwa nafasi chache tu zinahitaji kuongezewa nguvu mfano; beki mmoja imara wa kati, mshambuliaji mmoja na kiungo mkabaji mmoja.
Dakika ya ngapi?
Hivi Yanga alipopigwa 5-0 kadi nyekundu zilikuwa ngapi?Sio kila mechi mtacheza na wapinzani 9 uwanjani msiongee maneno mkamaliza, mechi na mtibwa mlishinda goli 5 baada ya kadi 2 nyekundu, mechi na prison mmeshinda goli 7 baada ya kadi moja nyekundu, Na mshaanza midomo mirefu mnaferi wapi nyie vijana wa rage
Red cards hazikutoka. Zilitoka mbadala ambazo ni PENALTI TATU kwenye magoli matano.Hivi Yanga alipopigwa 5-0 kadi nyekundu zilikuwa ngapi?
Fuatilia vizuri, kuna mechi ya Simba na Yanga mchezaji wa Simba alipewa Kadi nyekundu na huku Simba iko nyuma kwa goli moja. Simba ilifanya comeback na kushinda game hiyo 2-1. Ilikuwa enzi ya akina Mavugo. So Kadi nyekundu sio only reason ya timu kufungwa.Goli 5 kadi nyekundu, goli 7 kadi nyekundu.....nawaza tu [emoji143][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hebu fikiria wakati kadi nyekundu inatolewa, matokeo yalikuwa ni 1-1! Kiufupi tu, hakuna timu hapo.
Kwa hiyo Okwi alivyomlamba chenga kipa wa Yanga akabaki na wavu, kipa akavuta mguu, ulitaka iwe nini kama sio penati? Tena mwamuzi aliona huruma, ilikuwa iambatane na kadi nyekunduRed cards hazikutoka. Zilitoka mbadala ambazo ni PENALTI TATU kwenye magoli matano.