Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
1. Hakuna kocha wa ligi kuu aliyeshinda bao 7 hadi sasa zaidi ya Simba.
2. Kuna siku Mgunda atamfunga mtu 10.
3. Kuondoka kwa Barbra watu wa kazi wamerudi ndani ya timu.
4. Onyango amechoka na hastahili kuendelea kuwa Simba, kuna siku tutalia.
5. Simba imuongeze Kevin Nashon, Mudathiri Yahya na yule Zibona wa Prisons.
6. Saido Ntibazonkiza mtu mbad sana.
7. Mpira mwingi sana unapigwa Simba, ya nini kutafuta kocha mgeni.
8. Mgunda Kocha Bora mwezi Disemba.
9. Kombe la Mapinduzi tuwapime
wachezaji tunaotaka kusajili.
10. Tunataka wachezaji kama Ntibazonkiza, anasajiliwa anaanza sio anakuja kukaa benchi kama Akpan, Okwa, Quattar.
11. Simba impeleke kwa mkopo Peter Banda, kwani pembeni imekamilika sana.
12. Kumleta kocha wa kigeni wakati mpira unapigwa mwingi ni kuivuruga timu.
2. Kuna siku Mgunda atamfunga mtu 10.
3. Kuondoka kwa Barbra watu wa kazi wamerudi ndani ya timu.
4. Onyango amechoka na hastahili kuendelea kuwa Simba, kuna siku tutalia.
5. Simba imuongeze Kevin Nashon, Mudathiri Yahya na yule Zibona wa Prisons.
6. Saido Ntibazonkiza mtu mbad sana.
7. Mpira mwingi sana unapigwa Simba, ya nini kutafuta kocha mgeni.
8. Mgunda Kocha Bora mwezi Disemba.
9. Kombe la Mapinduzi tuwapime
wachezaji tunaotaka kusajili.
10. Tunataka wachezaji kama Ntibazonkiza, anasajiliwa anaanza sio anakuja kukaa benchi kama Akpan, Okwa, Quattar.
11. Simba impeleke kwa mkopo Peter Banda, kwani pembeni imekamilika sana.
12. Kumleta kocha wa kigeni wakati mpira unapigwa mwingi ni kuivuruga timu.