Mpira ni Biashara.
Timu kubwa ndiyo zinaingiza pesa nyingi TFF na Serikali kwa njia ya kodi.
Timu kubwa zinaibeba TFF kupitia njia ya mapato.
Malipo kwa Timu kubwa ni kubebwa kwa kupewa upendeleo ili TFF waendelee kupata pesa za kuendesha ligi.
Mchezaji kama Messi au Ronaldo hulindwa na marefa kuliko mchezaji mwengine yeyote kwa sababu ni chanzo cha mapato.
Haipendwi timu ila pesa tu.
Timu kubwa ndiyo zinaingiza pesa nyingi TFF na Serikali kwa njia ya kodi.
Timu kubwa zinaibeba TFF kupitia njia ya mapato.
Malipo kwa Timu kubwa ni kubebwa kwa kupewa upendeleo ili TFF waendelee kupata pesa za kuendesha ligi.
Mchezaji kama Messi au Ronaldo hulindwa na marefa kuliko mchezaji mwengine yeyote kwa sababu ni chanzo cha mapato.
Haipendwi timu ila pesa tu.