...Kwa vipi mkuu, tafadhali fafanuaNaona unatafuta pa kutokea mkuu.
Hebu rudia tenaDakika ya ngapi sasa hivi na matokeo yapoje ndugu mbumbumbu
Amehojiwa hapo na james anasema haikuwa penalt. Labda muda huo wewe ulikuwa chooni mkuu...Kwa vipi mkuu, tafadhali fafanua
Wewe tunajua tumbo linakuuma unajikaza tuNani kakuambia Yanga kuwa ni timu mbovu? Timu imemudu kupata pointi moja dhidi mbeya city hii Yanga ni Moto wa kuotea mbali!! Hongereni sana Yanga!!
Yanga hii iliyotoka sare na mbeya city ingekutana na As Vita, hao wakongoman wangekoma! Asanteni Sana timu ya wananchi kutupa burudani Safi ya kandanda Safi huko mbeya!!
...sawa dada, kweli nilikuwa chooniAmehojiwa hapo na james anasema haikuwa penalt. labda muda huo ww ulikuwa chooni mkuu
Wewe jamaa ni makalio kweli kweli.Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .
Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .
Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Acha kumfananisha Mwaikimba na Utopolo huyo, huyo mfananishe na YirpeHuyu Sarpong afadhali hata Mwaikimba
Mabingwa mara tatu na tunakuja kuchukua mara ya nne.Bila hata viporo kama kweli timu yenu ingekuwa bora sana basi sasa hivi mngekuwa kileleni, mmepata vichapo kutoka katika timu za kawaida sana
WamepanicNimeona huyo wanaemuita kocha wao anaongea tu bila fact. Yani anadai ile siyo penalt...! Huu mchezo hauitaji hasira bhandugu
Hakika. Mwaikimba sio wa kumfanananisha na huyo jamaa. Mwaikimba alishachukua ufungaji bora wa Ligi yetu akiwa katika timu ya Kagera Sugar.Acha kumfananisha mwaikimba na Utopolo huyo, hyo mfananishe ma Yirpe
Wanawapendea Mbio zao.Pisi ton ,tonombe,kisinda ,sarpong ,naona wanaruka ruka tu uwanjan ,alaf ajab sasa KIDIMBWI fans wanavyowakubal Ni hatar[emoji23][emoji23] sijui wamewaroga .
Yanga mpira wa minguvu ila akil ya mpira hakuna kabisa.