Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Nyie wazuri mnaongoza ligi ganiNafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .
Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .
Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Ligi ya mabingwa AfrikaNyie wazuri mnaongoza ligi gani
Ligi yenye timu 4, kwa kucheza mechi 2?Ligi ya mabingwa Afrika
Mnashindwa nini kuingia huko au mnafikiri kombe la mapinduzi litawapelekaligi yenye timu 4, kwa kucheza mechi 2?
Wewe kima timu yenu ni mbovu.Mikia wataongea sana
Mbeya City asingenyimwa penalty yake halali angekubikili mjombaaaKwanza jiulize ni timu gani ya kumfunga Yanga ktk ligi hii?
Kwa sababu imecheza mechi nyingi kuliko SimbaNafuatilia game ya Mbeya city na Yanga , kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza ! haijulikani wanacheza fomesheni gani , yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa , Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa .
Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha , ni timu mbovu kuliko maelezo .
Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne .
Yanga ndiyo ilionyimwa penalty na kuchezewa fujoMbeya City asingenyimwa penalty yake halali angekubikili mjombaaa
π π π π β£οΈWewe kima timu yenu ni mbovu.
Hapa hakuna logic yoyote, kwanza kutumia game moja kutoa tathmini ya timu siyo kipimo sahihi, na ukitumia kigezo cha michezo mingi basi itakuwa timu nyingine zote nazo ni mbovu.Nafuatilia game ya Mbeya city na Yanga, kiukweli kiwango kibovu kinachoonyeshwa na Yanga inashangaza! Haijulikani wanacheza fomesheni gani, yaani haijulikani wamewezaje kuongoza ligi mpaka sasa, Mbeya city inayoburuza mkia haionekani kama ina tofauti yoyote na Yanga yenye wachezaji wa Kimataifa.
Tatizo la timu hii haijulikani kama ni wachezaji au ni kocha, ni timu mbovu kuliko maelezo.
Sisi kama nchi tukithubutu kukubali kuwakilishwa na timu hii kwenye michuano ya kimataifa itakuwa aibu ya karne.