Timu sitini na tatu wagombania Simba day

Zitaje hizo timu 68..Mikia bhana kipindi kile mlikuwa misukule ya Manara chochote anachosema mnamuamini siku hizi yupo tumbo chochote atakachokiongea na yeye mnamuamini mna matope kichwan na sio akili
umeumia?
 
wakali wa hizi kazi Sasa sisi tunasema kama wanagombania kucheza na Mnyama tuwaundie mashindano wiki ya Mnyama mkali kisha mshindi aje acheze na wana Lunyasi maana watapata wanachostahili
hii sawa
 
Naumwa yapata wiki sasa kwa jinsi ninavyoipenda Simba yangu.
Wallahi mahabba makubwa.
 
hizo zitakua timu za ndondo cup.....
 
Simba bwana mnafurahisha sana mnajitekenya na kucheka wenyewe,hahahahahaaa mjiandae kisaikolojia msimu huu lazima mfe kibudu,hambebi kikombe hata kimoja na kwenye klabu bingwa mnatoka mapema sana.Ni suala la Muda tu,sababu kikosi chenu ni dhaifu sana.
 
Hawana uwezo huo tajiri kila siku analalamika anaendesha timu kwa hasara haoni faida yoyote,wao followers wake masikini wanatamba timu ina hela inaingiza faida ukiwauliza chanzo Cha mapato ni kipi hawana majibu yanayoeleweka,Makolokolo hawa pamoja na kufanikiwa kucheza klabu bingwa na kufika hatua ya robo fainali mara kadhaa na kupewa mpunga Bado tajiri analalamika kuendesha klabu hiyo kwa miaka 4 ametoa hela zake mfukoni zaidi ya uwekezaji alioufanya ni hasara kwenda mbele.Msimu huu ndiyo kabisa hovyo kabisa wenzake Yanga wamechukua mkataba kwa Azam wanakula Mpunga wa kusaidia kuendesha timu na Bado msimu ataendelea kulalamika mwishowe atalisusa litimu lenyewe na kuliacha lijifie na madeni lukuki kwa Taarifa za chinichini litimu lina mikopo hatari amekopea kuliendesha wao kama mazuzu hayahoji yameufyata tu .Muda utasema,mvua itanyesha tutajua panapovuja.
 
umeona kuna neno utopolo hapo juu ?
Mualikeni mwanaume wa shoka ,Bingwa wa kihistoria,Bingwa wa kumfunga Simba usiku na mchana Yanga mwenyewe kwenye Tamasha letu muone kitakachowakuta kudadadeki zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…