Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.
 
Iyo timu ilikuja kuikomoa yanga tu wao hawajari sana maendeleo yao ila kuipiga pini yanga tu
 
Hivi yanga kwann kila siku nyie ni malalamiko tu?
Mnakera sana.
Sio yanga inalalamika, yanga inaongoza ligi na imechukua tayari kombe LA mapinduzi kwa kuichapa Simba, haina inacholalamikia zaidi ya kuonyesha ujinga wa mahasimu wa yanga.

Azam ina kila kitu kinachohitajika kwenye soka lakini hakuna inachokifanya zaidi ya kuchapwa na vitimu visivyokuwa na kila kitu.

Mechi ya juzi Azam ingeweza kuifunga Simba bao 2-1 lakini viongozi na wachezaji wote hawapendi kuona Simba ikifungwa. Hata hayo mabao 2 waliofunga ni juhudi binafsi za wachezaji wa Azam wenye mapenzi na Yanga.
 
Matt Doherty beki wa Spurs ni shabiki wa Arsenal. Arsenal na spurs ni watani wa jadi.

Virgil van Dijk kabla ya kusajiliwa na liva aliwahi kutweet hivi "Come on united no one likes liverpool anyway" siku ya mechi ya united na liva. Hawa game yao ni derby.

Eden Hazard anasema alikua anaishabikia Arsenal. Hazard amechezea Chelsea, chelsea na Arsenal ni watani wa jadi.

Ozan Kabak aliyesajiliwa na liverpool wiki tu iliyopita aliwahi kutweet kwa lugha ya kwao ambayo ilimaanisha "Lets go Chelsea fvck liverpool"

Takefusa Kubo ni graduate wa academy ya Barcelona na amesajiliwa Madrid.

Ngolo Kante akiwa amesajiliwa chelsea aliungana na timu yake ya zamani leicester kuishangilia kwenye uefa.

Wapo wengi sana wachezaji wanaopenda timu A ila kutokana na kukosa nafasi ya kwenda hapo huenda timu zingine ambazo zaweza kua mahasimu.

Harry Kane aliishabikia Arsenal na alikua academy ya Arsenal ila yupo spurs siku hizi.
 
Sio yanga inalalamika, yanga inaongoza ligi na imechukua tayari kombe LA mapinduzi kwa kuichapa Simba, haina inacholalamikia zaidi ya kuonyesha ujinga wa mahasimu wa yanga.

Azam ina kila kitu kinachohitajika kwenye soka lakini hakuna inachokifanya zaidi ya kuchapwa na vitimu visivyokuwa na kila kitu.

Mechi ya juzi Azam ingeweza kuifunga Simba bao 2-1 lakini viongozi na wachezaji wote hawapendi kuona Simba ikifungwa. Hata hayo mabao 2 waliofunga ni juhudi binafsi za wachezaji wa Azam wenye mapenzi na Yanga.
We jamaa ni pumba sana, huu ugoro ulioandika ni upuuzi mtupu, eti wachezaji wa Azam wanaoipenda Yanga, huo ni ugoro. Ina maana Azam kufungwa huko Tanga imekua nongwa, juzi tu hapa utopolo mumepigwa na watoto daraja la chini pamoja na jitihada kubwa kujaribu kukomboa goli kukiwa na kikosi kikubwa, haikuwezekana, kwa nini uilaumu Azam leo kufungwa na C.Union?
 
We jamaa ni pumba sana, huu ugoro ulioandika ni upuuzi mtupu, eti wachezaji wa Azam wanaoipenda Yanga, huo ni ugoro. Ina maana Azam kufungwa huko Tanga imekua nongwa, juzi tu hapa utopolo mumepigwa na watoto daraja la chini pamoja na jitihada kubwa kujaribu kukomboa goli kukiwa na kikosi kikubwa, haikuwezekana, kwa nini uilaumu Azam leo kufungwa na C.Union?
Na Moira ukachezwa kwa DKK 5 baada ya zile 90.
 
Azam hawajawahi kua serious ligi kuu. Wana kila kitu ila wa akosa kila kitu kuwapa ushindi uwanjani. Viongozi wao wamekalia ushabiki dhidi ya Simba wako radi wafungwe na Simba ila waikazie Yanga pumbafu kabisa.

Itachukua miaka mingi sana kwa Azam kushinda taji la ligi kuu kwa upuuzi wa viongozi wake
 
Azam waache kushindana na Simba na Yanga.

Wala wasifanye mambo yanayofanywa na Simba na Yanga na wasitake ubingwa kama ndiyo short term goal, bali waanze kufundisha watoto wadogo wa East na Southern Africa ili waje kuwa na

1. Team ambayo imekuzwa tangu utotoni kwa pamoja.
2. Kujenga brand hasa kwa watoto na teenagers ambao baadae ndiyo watakuwa washabiki na viongozi waendeshaji wa Timu.

Waache kununua wachezaji kutoka nje kwa sababu hapo ndiyo upigaji unapoanza. Simba na Yanga zinapoteza hela nyingi sana kwa agents wa magharasa. Yaani hizi timu ni vichwa ngumu hazina academy za maana. Viongozi wa Simba na Yanga akili zao sawa, wote ni matope tu kichwani na wataendelea kupoteza fedha nyingi za wawekezaji mpaka itafika mwish zitaachwa.

Kuna timu itaanzishwa Tanzania, na itaanzia grassroots na hizi timu za Simba na Yanga zitabaki na magharasa yao tu.
 
Unaongea porojo tu za mtaani, haujatuwekea strikes reasons kuthibitisha unachoongea.
 
Hayo malalamiko ya utopolo yanaonyesha upeo wao wa kufikiri ulivyo, sure boy yanga walishindwa dau tatizo lenu mnapenda vya bure hata wakati mnamsajili Gadiel Michael toka asam mlitoa malalamiko hayohayo.

Badala ya kulalamika toeni mzigo simba wanatoa mzigo ndio maana wanasajili au kama walivyopata bahati baada ya azam kuacha wachezaji wake nyie kipindi hicho mlikuwa hoi taabani.
 
Ukweli mtupu !
Ukweli upi? Utopolo haiko smart , hivi kweli waweke dau nono la kumnunua sure boy Azam watakataa vipi? Vile vile sure boy mwenyewe hataki kuchezea utopolo . Kwa jinsi mikataba ya wachezaji wa ligi hii ilivyo yaani miaka miwili miwili ni rahisi sana mchezaji kutoongeza mkataba ili atimkie klabu anayoitaka .Kwa hiyo ni sure boy mwenyewe ndie hawataki utopolo.

Vile vile ukiona mchezaji uliekuwa una mtaka kasajiliwa na klabu nyingine ujue hujamvutia either kimaslahi, miundo mbinu au mashindano unayoshiriki. Kwa sababu hizi ni kipi utopolo wanaizidi Azam? Azam wanatuma ndege kwenda kumchukua mchezaji (Wadada), wana uwanja wao, sasa ni kwa vipi mchezaji aikatae Azam aende utopolo ambako hana uhakika kesho atafanyia wapi mazoezi. Kwa hiyo utopolo kushindwa kusajili mchezaji wanaemtaka mchawi ni utopolo mwenyewe.
 
Azam inakosa kitu kimoja tu. MASHABIKI. imagine ingekuwa Simba au Yanga baada ya droo ya juzi n kipigo cha jana mashabiki wangekuwa wanatoa povu gani? Lakini Azam shwari tu maisha yanaenda hakuna wa kupiga kelele, hakuna wa kuhoji, nk.

Mwanzo niliamini Simba na Yanga wote wanaungana kupambana na Azam baadae nikaona hakuna kitu kama hicho. Azam anajiendea kama kuku amekatwa kichwa.

Hilo linaloitafuna Azam.
 
We jamaa ni pumba sana, huu ugoro ulioandika ni upuuzi mtupu, eti wachezaji wa Azam wanaoipenda Yanga, huo ni ugoro. Ina maana Azam kufungwa huko Tanga imekua nongwa, juzi tu hapa utopolo mumepigwa na watoto daraja la chini pamoja na jitihada kubwa kujaribu kukomboa goli kukiwa na kikosi kikubwa, haikuwezekana, kwa nini uilaumu Azam leo kufungwa na C.Union
Mechi za kirafiki na mechi za ligi zina malengo tofauti. Lakini, African Sports na Yanga wana uhusiano usiokwisha.

Hivyo unafananisha vitu 2 tofauti. Pale Azam ni shamba la bibi tu, kula Azam kulala kwa jirani.
 
Azam waache kushindana na Simba na Yanga.

Wala wasifanye mambo yanayofanywa na Simba na Yanga na wasitake ubingwa kama ndiyo short term goal, bali waanze kufundisha watoto wadogo wa East na Southern Africa ili waje kuwa na

1. Team ambayo imekuzwa tangu utotoni kwa pamoja.
2. Kujenga brand hasa kwa watoto na teenagers ambao baadae ndiyo watakuwa washabiki na viongozi waendeshaji wa Timu.

Waache kununua wachezaji kutoka nje kwa sababu hapo ndiyo upigaji unapoanza. Simba na Yanga zinapoteza hela nyingi sana kwa agents wa magharasa. Yaani hizi timu ni vichwa ngumu hazina academy za maana. Viongozi wa Simba na Yanga akili zao sawa, wote ni matope tu kichwani na wataendelea kupoteza fedha nyingi za wawekezaji mpaka itafika mwish zitaachwa.

Kuna timu itaanzishwa Tanzania, na itaanzia grassroots na hizi timu za Simba na Yanga zitabaki na magharasa yao tu.
Hata kama wakifanya hivyo, hao wachezaji hodari wakikua watapelekwa Simba. Kwani mzee hukuona akina Bocco, Nyoni, Mess walivyokwenda kuiimarisha Simba na kuiacha Azam ikihanyahanya kwa kubalisha makocha na wachezaji?
 
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.
Hizi Yanga na Simba zimekuwa kama Imani za kidini kavulata . Hasa hapa Tanzania .

Na hoja yako imeziathiri sana timu karibu zote za ligi kuu. Na hili ni anguko la soka ya Tz
 
Back
Top Bottom