Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Ukweli upi? Utopolo haiko smart , hivi kweli waweke dau nono la kumnunua sure boy Azam watakataa vipi? Vile vile sure boy mwenyewe hataki kuchezea utopolo . Kwa jinsi mikataba ya wachezaji wa ligi hii ilivyo yaani miaka miwili miwili ni rahisi sana mchezaji kutoongeza mkataba ili atimkie klabu anayoitaka .Kwa hiyo ni sure boy mwenyewe ndie hawataki utopolo.

Vile vile ukiona mchezaji uliekuwa una mtaka kasajiliwa na klabu nyingine ujue hujamvutia either kimaslahi, miundo mbinu au mashindano unayoshiriki. Kwa sababu hizi ni kipi utopolo wanaizidi Azam? Azam wanatuma ndege kwenda kumchukua mchezaji (Wadada), wana uwanja wao, sasa ni kwa vipi mchezaji aikatae Azam aende utopolo ambako hana uhakika kesho atafanyia wapi mazoezi. Kwa hiyo utopolo kushindwa kusajili mchezaji wanaemtaka mchawi ni utopolo mwenyewe.
Sure Boy hakuwa na thamani ile waliyoitaja Azam.
 
Hizi Yanga na Simba zimekuwa kama Imani za kidini kavulata . Hasa hapa Tanzania .

Na hoja yako imeziathiri sana timu karibu zote za ligi kuu. Na hili ni anguko la soka ya Tz
Uko sahihi, watu wanashindwa kushabikia timu zao za mikoa zikicheza na simba na yanga. Simba na Yanga hazina mechi za ugenini, kila mechi ni kama iko nyumbani, hii nitofauti na soka la nchi nyingine Afrika na hata dunia.
 
Hizi Yanga na Simba zimekuwa kama Imani za kidini kavulata . Hasa hapa Tanzania .

Na hoja yako imeziathiri sana timu karibu zote za ligi kuu. Na hili ni anguko la soka ya Tz
Imani hii iko wazi mno kwa Azam FC, waziwazi unaona viongozi wake hawapendi kuifunga Simba hasa pale Simba inapohitaji matokeo muhimu yatakayo ikera Yanga.
 
Imani hii iko wazi mno kwa Azam FC, waziwazi unaona viongozi wake hawapendi kuifunga Simba hasa pale Simba inapohitaji matokeo muhimu yatakayo ikera Yanga.
Hii iliiharibia Toto Africa , Pan African, Nyota nyekundu, Coastal Union, Pamba na hata Mtibwa sugar wanasumbuliwa na mapenzi haya.

Haya mapenzi ya Simba na Yanga , ni kama watoto wanaolishwa Imani kali za kipalestina dhidi ya Israel. Na hazitoki pamoja na kutokuwa na faida yoyote . Na Azam wamekwamia hapo.
 
Ukweli upi? Utopolo haiko smart , hivi kweli waweke dau nono la kumnunua sure boy Azam watakataa vipi? Vile vile sure boy mwenyewe hataki kuchezea utopolo . Kwa jinsi mikataba ya wachezaji wa ligi hii ilivyo yaani miaka miwili miwili ni rahisi sana mchezaji kutoongeza mkataba ili atimkie klabu anayoitaka .Kwa hiyo ni sure boy mwenyewe ndie hawataki utopolo.

Vile vile ukiona mchezaji uliekuwa una mtaka kasajiliwa na klabu nyingine ujue hujamvutia either kimaslahi, miundo mbinu au mashindano unayoshiriki. Kwa sababu hizi ni kipi utopolo wanaizidi Azam? Azam wanatuma ndege kwenda kumchukua mchezaji (Wadada), wana uwanja wao, sasa ni kwa vipi mchezaji aikatae Azam aende utopolo ambako hana uhakika kesho atafanyia wapi mazoezi. Kwa hiyo utopolo kushindwa kusajili mchezaji wanaemtaka mchawi ni utopolo mwenyewe.
Halafu inafungwa na Coastal Union ambayo wachezaji wake wanashindwa hata kunywa chai !
 
Hata kama wakifanya hivyo, hao wachezaji hodari wakikua watapelekwa Simba. Kwani mzee hukuona akina Bocco, Nyoni, Mess walivyokwenda kuiimarisha Simba na kuiacha Azam ikihanyahanya kwa kubalisha makocha na wachezaji?
Aishi manula pia
 
Hata kama wakifanya hivyo, hao wachezaji hodari wakikua watapelekwa Simba. Kwani mzee hukuona akina Bocco, Nyoni, Mess walivyokwenda kuiimarisha Simba na kuiacha Azam ikihanyahanya kwa kubalisha makocha na wachezaji?
Ndiyo maana unaambiwa waache kuwaiga Yanga na Simba. Hawa wachezaji wanachukuliwa kwa sababu huwafungi kimkataba na pia hawaioni Azam kama timu yenye mashabiki.
Kwa mfano, kumchukua Feisal Yanga sasa hivi itabidi utoe hela nyingi sana. Ni kama vile wamemfunga kimkataba. Unamlea mchezaji na kumfunga kimkataba tangu utotoni.
Mo mwenyewe atachoka kununua magharasa muda si mrefu, we subiri tu.
 
Achana na wazungu ni wastaarabu.Sisi ni washenzi
Matt Doherty beki wa Spurs ni shabiki wa Arsenal. Arsenal na spurs ni watani wa jadi.

Virgil van Dijk kabla ya kusajiliwa na liva aliwahi kutweet hivi "Come on united no one likes liverpool anyway" siku ya mechi ya united na liva. Hawa game yao ni derby.

Eden Hazard anasema alikua anaishabikia Arsenal. Hazard amechezea Chelsea, chelsea na Arsenal ni watani wa jadi.

Ozan Kabak aliyesajiliwa na liverpool wiki tu iliyopita aliwahi kutweet kwa lugha ya kwao ambayo ilimaanisha "Lets go Chelsea fvck liverpool"

Takefusa Kubo ni graduate wa academy ya Barcelona na amesajiliwa Madrid.

Ngolo Kante akiwa amesajiliwa chelsea aliungana na timu yake ya zamani leicester kuishangilia kwenye uefa.

Wapo wengi sana wachezaji wanaopenda timu A ila kutokana na kukosa nafasi ya kwenda hapo huenda timu zingine ambazo zaweza kua mahasimu.

Harry Kane aliishabikia Arsenal na alikua academy ya Arsenal ila yupo spurs siku hizi.
 
Kiukweli wanayanga mko sahihi kulalamika kuvurunda kwa Azam wakati wana karibu kila kitu. Ni aibu Azam kufungwa na Coastal union wakati hao coastal wanafungwa na yanga klabu iliyotoka kutema wachezaji 20 na kusajili wapya, pia klabu isiyo na pa kufanyia mazoezi.Aibu Azam!

Ni aibu kwa Azam kufungwa na Yanga msimu huu huku mkitoa sare na simba. Unatuma ndege kwenda kumchukua mchezaji wako halafu unafungwa na yanga? Kwa kipi walichowazidi? Aibu Azam.

Wachezaji Azam jirekebisheni nyinyi ni wa kimataifa kama simba maana klabu ina kila kitu cha kuvutia wachezaji. Kumbukeni jinsi Carlinhos alivyosikitika siku alipopelekwa kufanya mazoezi Mwembe togwa primary school.

Sasa nyinyi Azam iweje msijitume muwe kama simba muwakilishe taifa. Azam na Simba ndio inatakiwa iwe top two kama Tp Mazembe na As vita. Hawa wengine wawe kama tu Motema pembe watupe tu changamoto.. Azam badilikeni.
 
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.

Mkuu naona kama una point, hebu weka facts (uthibitisho) wa hoja zako.

Ahsante
 
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.
Kosa kubwa walilolifanya Azam ni kuondoa management ya kina Saad Kawemba tena kwa majungu ya kike ya kina Abdul Mohamed.

Sasa hivi Azam ungekuwa level ya juu sana kuliko hizi timu za wachawi wa Kariakoo.
 
Azam hawajawahi kua serious ligi kuu. Wana kila kitu ila wa akosa kila kitu kuwapa ushindi uwanjani. Viongozi wao wamekalia ushabiki dhidi ya Simba wako radi wafungwe na Simba ila waikazie Yanga pumbafu kabisa.

Itachukua miaka mingi sana kwa Azam kushinda taji la ligi kuu kwa upuuzi wa viongozi wake
Walishalichukua 2014
 
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.
Utopolo mna matatizo ya kichwa walahi, juzi tuu hapa azamu ametoa draw na Simba ingekuwa hivyo si wangefungwa na Simba tuuu?
 
Wachukulie poa tu hawa dada zetu wanapotema tema mate hovyo.

Wakitema sana tunawapatia ndimu ili wabaki wakisonya huku wamekunja sura.
Utopolo mna matatizo ya kichwa walahi, juzi tuu hapa azamu ametoa draw na Simba ingekuwa hivyo si wangefungwa na Simba tuuu?
 
Back
Top Bottom