Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Hapo unakosea, unatoa mifano 2 tofauti kimenya unasema alikataa mwenyewe lakini sure boy mwenyewe alikuwa tayari kulikubali dai LA yanga ila Azam hawakupenda aende yanga. Kwa dau hilohilo LA yanga Azam wangelikubali au pengine chini ya hapo kama sure boy angetakiwa na simba
huwezi kumchukua mchezaji mwenye mkataba kisa amependa mwenyewe kuja kuchezea hiyo timu hakuna kitu hicho kwa dunia ya sasa ndio kwanza nakisikia kwako
 
Mm ningekua ndio mkurugenzi wa azam ningefukuza uwongozi mpaka wafua jezi harafu ningetafuta watu kutoka mataifa mbali mbali waje kuiongoza timu nisingeitaji mtanzania hata moja awepo kwenye uwongozi maana ndio sababu ya hujuma
 
Hapo unakosea, unatoa mifano 2 tofauti kimenya unasema alikataa mwenyewe lakini sure boy mwenyewe alikuwa tayari kulikubali dai LA yanga ila Azam hawakupenda aende yanga. Kwa dau hilohilo LA yanga Azam wangelikubali au pengine chini ya hapo kama sure boy angetakiwa na simba
bro mna bahati mabaya sana CAF WAMEWAWEKA NAMBA 67 MNAONEWA SANA POINTS 0.5 SIMBA POINTS 14 NAMUNGO SOON ANAKUA NAMBA 60 MAY GOD BLESS THEM
 
Sio yanga inalalamika, yanga inaongoza ligi na imechukua tayari kombe LA mapinduzi kwa kuichapa Simba, haina inacholalamikia zaidi ya kuonyesha ujinga wa mahasimu wa yanga.

Azam ina kila kitu kinachohitajika kwenye soka lakini hakuna inachokifanya zaidi ya kuchapwa na vitimu visivyokuwa na kila kitu.

Mechi ya juzi Azam ingeweza kuifunga Simba bao 2-1 lakini viongozi na wachezaji wote hawapendi kuona Simba ikifungwa. Hata hayo mabao 2 waliofunga ni juhudi binafsi za wachezaji wa Azam wenye mapenzi na Yanga.
Hahahahha utopolo umeshindwa kumfunga simba unataka azam ndo amfunge?
Hopeless kabisa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mfano, kama Sure Boy angetakiwa na Simba angeruhusiwa kwenda Simba na kama Perfect Chikwendwe angetakiwa na Yanga angesajiliwa na Azam.

Azam imejaza viongozi na wachezaji wasiokuwa na moyo na Azam, wako Azam kwasababu ya hela tu ya tajiri wao tu.

Wachezaji na viongozi wanaihujumu timu kwa kuzilinda "timu zao" wanazopenda.

Rais Kikwete analifahamu hili pia na aliwaonya Azam kuepuka kushabikia timu nyingine nchini lakini walimpuuza.

Azam ina kila kitu lakini wachezaji hawajitumi. Hakuna mchezaji asiyependa kushangiliwa, Azam hakuna washangiliaji.

Mpaka hapo Azam itakapobadilisha mtazamo, haitafanya vizuri kwenye soka.
Kama mmiliki mwenyewe wa klabu anafurahia timu yake ikifungwa na Simba ila anaweza msimamisha àu kumfukuza kabisa mchezaji atakae badilishana jezi na Yanga refer ishu ya Ngasa akiichezea Àzam kilichomkuta toka pale nilijua Àzam no genge la Simba lililofifia
 
Hata kama wakifanya hivyo, hao wachezaji hodari wakikua watapelekwa Simba. Kwani mzee hukuona akina Bocco, Nyoni, Mess walivyokwenda kuiimarisha Simba na kuiacha Azam ikihanyahanya kwa kubalisha makocha na wachezaji?
Singano alichukuliwa simba pesa amna apo safi simba wakaangaika amna kitu ila simba akichukua mchezaji pale azam urafiki bocco manula nyoni si waliwapunguzia mishahara watu wakasepa walisema wana bana matumiz kapombe alikua simba azam wakamchukua safi ila simba kumchukua wamewapa eheee shida gadiel alienda yanga sijui alitokea wapi vile
 
Singano alichukuliwa simba pesa amna apo safi simba wakaangaika amna kitu ila simba akichukua mchezaji pale azam urafiki bocco manula nyoni si waliwapunguzia mishahara watu wakasepa walisema wana bana matumiz kapombe alikua simba azam wakamchukua safi ila simba kumchukua wamewapa eheee shida gadiel alienda yanga sijui alitokea wapi vile
KAKA ACAHANA NAO AS VITA KAFUNGWA NA SIMBA KINSHASA MAUMIVU UTOPOLO WANASEMA AS VITA YA SASA NI MBOVU IMEACHIHIA SIMBA JAMAA WANA MALALAMIKO HADI HURUMAAA
 
KAKA ACAHANA NAO AS VITA KAFUNGWA NA SIMBA KINSHASA MAUMIVU UTOPOLO WANASEMA AS VITA YA SASA NI MBOVU IMEACHIHIA SIMBA JAMAA WANA MALALAMIKO HADI HURUMAAA
Namna goli lilivyopatikana hainiaminishi kuwa bahati kama ile itapatikana kwenye .arudiano.
 
Sio yanga inalalamika, yanga inaongoza ligi na imechukua tayari kombe LA mapinduzi kwa kuichapa Simba, haina inacholalamikia zaidi ya kuonyesha ujinga wa mahasimu wa yanga.

Azam ina kila kitu kinachohitajika kwenye soka lakini hakuna inachokifanya zaidi ya kuchapwa na vitimu visivyokuwa na kila kitu.

Mechi ya juzi Azam ingeweza kuifunga Simba bao 2-1 lakini viongozi na wachezaji wote hawapendi kuona Simba ikifungwa. Hata hayo mabao 2 waliofunga ni juhudi binafsi za wachezaji wa Azam wenye mapenzi na Yanga.
Sasa kama azam sio timu yako na haifanyi vizuri na timu yako yanga unayoishabikia inafanya vizurii kwanini uumie na timu isiyokuhusu bro si uendelee kushangilia timu yako inayofanya vizurii au wenzetuu mmezoea malalamiko kiasi kwamba yakikosekana mtatafuta lolote tu mlalamikie, sio muda mtasema na Namungo fc anamuachiaga simba ashinde hivi mpoje nyinyi?
 
Sure Boy hakuwa na thamani ile waliyoitaja Azam.
Sure boy nae haipendi yanga sio mkaze shingo tu kusema eti azam wanawabania toka nianze kusikia mnamtaka huyo jamaa kasharenew mikataba zaidi ya mara mbili hapo azam kama kweli angekuwa na nia ya kucheza yanga angewezaje kuongeza mkataba na azam badala ya kwenda kusinya yanga hii inaonyesha dau mnaloweka yanga ni dogo hata tu kumshawishi mchezaji husika
 
Sasa kama azam sio timu yako na haifanyi vizuri na timu yako yanga unayoishabikia inafanya vizurii kwanini uumie na timu isiyokuhusu bro si uendelee kushangilia timu yako inayofanya vizurii au wenzetuu mmezoea malalamiko kiasi kwamba yakikosekana mtatafuta lolote tu mlalamikie, sio muda mtasema na Namungo fc anamuachiaga simba ashinde hivi mpoje nyinyi?
Mi nadhani mwisho w malalamiko mengi hauko mbali, ni tff ikibadilika.

Lakini wadau wengi wa soka wangependa kuziona Azam na Gwambina ambazo zimeamua kuwekeza kwenye football zikipata mafanikio makubwa kuliko wababaishaji Simba na Yanga. Tunapoona mtu kawekeza lakini timu haisongi mbele kwasababu za simba na yanga tena lazima tushangae.
 
Mi nadhani mwisho w malalamiko mengi hauko mbali, ni tff ikibadilika.

Lakini wadau wengi wa soka wangependa kuziona Azam na Gwambina ambazo zimeamua kuwekeza kwenye football zikipata mafanikio makubwa kuliko wababaishaji Simba na Yanga. Tunapoona mtu kawekeza lakini timu haisongi mbele kwasababu za simba na yanga tena lazima tushangae.
Wapi azam walisema hawafanyi vizuri kwa sababu ya simba azam ina kikosi gani cha maana cha kusema hawastahili kukosa ubingwa au unazungumzia uwekezaji wa mioundombinu ?
 
Singano alichukuliwa simba pesa amna apo safi simba wakaangaika amna kitu ila simba akichukua mchezaji pale azam urafiki bocco manula nyoni si waliwapunguzia mishahara watu wakasepa walisema wana bana matumiz kapombe alikua simba azam wakamchukua safi ila simba kumchukua wamewapa eheee shida gadiel alienda yanga sijui alitokea wapi vile
Tena Gadiel walilazimisha na malalamiko juu oh angekuwa anaenda simba angeruhusiwa kirahisi tatizo utopolo wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia
 
Back
Top Bottom