Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Timu ya Azam imekumbatia wachezaji na viongozi wanaopenda timu nyingine Tanzania, hawana moyo

Viongozi karibu wote wa azam pale ni wanachama wa simba...hata mwenye timu mwenyewe ni simba damu kabisa
HATA CAF KULE CAIRO NI SIMBA WE HUONI KILA SIKU MO NA BARBRA WANAPIGA PICHA NA RAIS WA CAF NA WANAPULIZIA SUMU VYUMBANI WANALETA MAPAKA UWANJANI WANAWEKWA TOP 20 AFRIKA HALAFU YANGA INAWEKWA 67,YANGA INAONEWA SANA HALAFU CAS NAO HAMFUNGII MORISSON HUKU WAMEMSIKILIZA TAMBWE YAANI TUNAONEWA SANA KWA KWELI
 
Hii iliiharibia Toto Africa , Pan African, Nyota nyekundu, Coastal Union, Pamba na hata Mtibwa sugar wanasumbuliwa na mapenzi haya.

Haya mapenzi ya Simba na Yanga , ni kama watoto wanaolishwa Imani kali za kipalestina dhidi ya Israel. Na hazitoki pamoja na kutokuwa na faida yoyote . Na Azam wamekwamia hapo.
Azam ni kama joka la kibisa lisilo ng'ata pamoja na kusajili wachezaji na makocha wazuri sana, kuwa na viwanja na gym vya kisasa kabisa na pesa nzuri kwa wachezaji na makocha pamoja na matibabu ya kiwango cha juu kama wachezaji wakiumia.
 
Utopolo mna matatizo ya kichwa walahi, juzi tuu hapa azamu ametoa draw na Simba ingekuwa hivyo si wangefungwa na Simba tuuu?
Weee, isingewezekana kihivyo maana mule Azam kuna wachezaji wenye mahaba na Yanga kama akina Sure boy, Nado, nk, wao walicheza jihad ili waifunge Simba.
 
Kwa hiyo nikikuambia kikwete ni yanga utaniuliza nimefahamu je??

Au leo hii mo aachane na simba aanzishe timu yake baada ya miaka kadhaa nikikuambia mo ni simba utaniuliza nimejua je?
simba wana matatizo, wana kaulimbukeni fulani, achana nao, ndio maana hata mchakato wao wa mabadiliko umekwama kwa mihemko ns kukurupukia mambo. Wao simba wakiifunga Yanga basi inawatosha, hawataki kuhoji tena ziliko 20 bil na atakaezihoji ni adui mkubwa wa simba.
 
Ninamuonea huruma super coach Lwandamina
nina rafiki yangu ni journalist mkubwa michezo zambia alishangaa azam kumuita lwandamina kule kwao lwandamina kwa sasa ni washed up..ukifatilia pages za michezo zambia kuna shida kama yetu ya makocha kuna mmoja tu bemashi ndiye wana mrate high,nao siku hizi wana import makocha,ingia bwezani with zambian soccer au zambian soccer magazine ,ziko facebook utaelewa tene sisi tuna nafuu ,mimi shabiki wa simba ila nakuhakikishia azam wangempa team mkwasa ingekuwa faya sana,mkwasa namkubali sana..matola na yeye akasome apate leseni kubwa he is good
 
kwa mujibu w a utopolo hata kipa wa uganda aliachia goal la luis konde boy..unamtaka sure boy kwa milioni 20 halafu unalipa milioni 150 kwa yacouba,120 kwa sarpong dah uto ni uto tuuu
Mwenyewe anaipenda Yanga hata bila hela, wee vepe? Hata Pogba aliiambia Man U wapunguze bei ya uhamisho wake ili asepe, alikuwa hapendi tena timu. Kuna wachezaji pale hawaipendi Azam wala Simba, ila Azam wanaforce wachezaji waende Simba sio Yanga, ila waligonga mwamba kwa Ngassa tu. Hawa wengine wana mgomo baridi wa humohumo ndani kwa ndani.

Hakuna mchezaji ambaye hapendi kuona wachezaji wamejaza uwanja wanamshangilia, Azam hakuna starehe hiyo wala ubingwa
 
Mwenyewe anaipenda Yanga hata bila hela, wee vepe? Hata Pogba aliiambia Man U wapunguze bei ya uhamisho wake ili asepe, alikuwa hapendi tena timu. Kuna wachezaji pale hawaipendi Azam wala Simba, ila Azam wanaforce wachezaji waende Simba sio Yanga, ila waligonga mwamba kwa Ngassa tu. Hawa wengine wana mgomo baridi wa humohumo ndani kwa ndani.

Hakuna mchezaji ambaye hapendi kuona wachezaji wamejaza uwanja wanamshangilia, Azam hakuna starehe hiyo wala ubingwa
aisee kwa hiyo keeper aliye save penalty aliachia goal la pili siyo?sasa kama azam walitaka milioni 50 nyie mkalazimisha 20 huku sarpong mnatoa milioni 120 mnajiona mna akili kweli mbona mwanyeto mlitoa almost 150? basi huyo wa zo ni scarpper tu hana thamani unaongelea mapenzi aliyebusu jezi ya utopolo akiwa azam mbona mlimtosa leo yuko gwambina?
huyo sure boy unyemlilia mlitakiwa kuongeza milioni 30 ,dah yaani utopolo ni kituko kwa kweli
 
Tulivyokuwa tunasema pumba za Mwakalebera kumbe tulikuwa tukimwonea kwa maoni yanayotolewa na mashabiki wa upotolo kumbe yeye ana uafadhali
 
Tulivyokuwa tunasema pumba za Mwakalebera kumbe tulikuwa tukimwonea kwa maoni yanayotolewa na mashabiki wa upotolo kumbe yeye ana uafadhali
bro...kama ningekuw akaribu na sure boy ningemshauri abaki azam akimaliza asome management au ukocha akafundishe vijana wa azam..yaani kuna mtu anaitwa kimenya wa prisons kakomaa bei na simba na yanga hadi kleo imeshindikana lakini ni bora simba na yanga wakaokote magarasha ya milioni 100 nje ya bchi kama kina coulibally wawaache kina kamenya..kwa hiyo mtoa post anataka sure boy aende yanga kwa milioni 20 eti mapenzi,sarpong 120 millions?duhhh mapenzi ya ngasa yaliishia wapi?
 
Tulivyokuwa tunasema pumba za Mwakalebera kumbe tulikuwa tukimwonea kwa maoni yanayotolewa na mashabiki wa upotolo kumbe yeye ana uafadhali
Tega sikio huko DR Congo usikie kama mna timu au kukurupukia kila anaetakiwa na yanga
 
bro...kama ningekuw akaribu na sure boy ningemshauri abaki azam akimaliza asome management au ukocha akafundishe vijana wa azam..yaani kuna mtu anaitwa kimenya wa prisons kakomaa bei na simba na yanga hadi kleo imeshindikana lakini ni bora simba na yanga wakaokote magarasha ya milioni 100 nje ya bchi kama kina coulibally wawaache kina kamenya..kwa hiyo mtoa post anataka sure boy aende yanga kwa milioni 20 eti mapenzi,sarpong 120 millions?duhhh mapenzi ya ngasa yaliishia wapi?
mpuuzi kwani Sure boy hana familia, baba yake alichezea yanga cha maana nini alichokipata. Akili za yanga bado zinafikiria mwaka 47 walimdanganya Ngasa na Tegete sasa wapowapo tu.
 
bro...kama ningekuw akaribu na sure boy ningemshauri abaki azam akimaliza asome management au ukocha akafundishe vijana wa azam..yaani kuna mtu anaitwa kimenya wa prisons kakomaa bei na simba na yanga hadi kleo imeshindikana lakini ni bora simba na yanga wakaokote magarasha ya milioni 100 nje ya bchi kama kina coulibally wawaache kina kamenya..kwa hiyo mtoa post anataka sure boy aende yanga kwa milioni 20 eti mapenzi,sarpong 120 millions?duhhh mapenzi ya ngasa yaliishia wapi?
Hapo unakosea, unatoa mifano 2 tofauti kimenya unasema alikataa mwenyewe lakini sure boy mwenyewe alikuwa tayari kulikubali dai LA yanga ila Azam hawakupenda aende yanga. Kwa dau hilohilo LA yanga Azam wangelikubali au pengine chini ya hapo kama sure boy angetakiwa na simba
 
Back
Top Bottom