The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Klabu ya kaizer chiefs, imethibitisha kumnasa kiungo mkabaji, aliyekuwa akikipiga katika kikosi cha mabingwa wa Tanzania Simba sport club James Kotei . Kwa mujibu wa chiefs Kotei tayari amesaini kandarasi ya miaka 3 kukipiga na miamba hao wa south Africa
"
Kaizer Chiefs have signed James Agyekum Kotei on a three-year contract.
The 25 years old Kotei is from Ghana and joins Amakhosi from Simba Sport Club #amakhosi4life "
Kila la Kheri James Kotei katika majukumu yako mapya .
"
Kaizer Chiefs have signed James Agyekum Kotei on a three-year contract.
The 25 years old Kotei is from Ghana and joins Amakhosi from Simba Sport Club #amakhosi4life "
Kila la Kheri James Kotei katika majukumu yako mapya .