Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Timu ya Bunge ya Mpira wa Kikapu Wanaume imepoteza mchezo wake dhidi ya Timu ya Bunge la Kenya kwa kuruhusu kufungwa magoli 67-38.Timu hizo zipo Mombasa nchini Kenya kushiriki mashindano ya Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ikumbukwe hapo jana, Timu ya Bunge la Tanzania ya Mpira wa Wavu ya wanawake iliendeleza ubabe katika mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki baada ya kuifunga timu Bunge la Uganda kwa Seti 3-2. Timu hizo zilikutana katika Michezo ya Mabunge ya Nchi za Jumuiya hiyo yanayoendelea Mombasa Kenya
Ikumbukwe hapo jana, Timu ya Bunge la Tanzania ya Mpira wa Wavu ya wanawake iliendeleza ubabe katika mashindano ya Mabunge ya Afrika Mashariki baada ya kuifunga timu Bunge la Uganda kwa Seti 3-2. Timu hizo zilikutana katika Michezo ya Mabunge ya Nchi za Jumuiya hiyo yanayoendelea Mombasa Kenya