Timu ya Taifa ya Congo ikiwa katika picha ya pamoja huku kila mchezaji akiwa amevaa jezi ya Klabu yake

Timu ya Taifa ya Congo ikiwa katika picha ya pamoja huku kila mchezaji akiwa amevaa jezi ya Klabu yake

Hapo ingekuwa wamefanya watanzania wenzenu ungesikia ooh sio sahihi,, sijui nini mala nn vuta picha sallah na samata wanakuja na majez yao babaaa kwa jins watz mlivyo pasingetosha ngoja tu nikae kimya
 
Back
Top Bottom