Timu ya Taifa ya DR Congo yafanya sub mara nne jana kinyume na utaratibu

Timu ya Taifa ya DR Congo yafanya sub mara nne jana kinyume na utaratibu

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Jana kulipigwa mechi ya DR Congo dhidi ya Benin ya kufuzu kwa michuano ya kombe la dunia kwa bara la Africa.

Jana DR Congo wamefanya sub mara nne badala ya tatu kisheria hivyo wapo katika balaa la kuchukuliwa hatua, endapo itathibitika kuwa walifanya kosa hilo, Benin anaweza akafuzu kwa point za mezani.

Soka la Afrika halipo sawa, kuna shida kubwa sana kwanzia uwanjani mpakani kwenye uongozi, yaani kila kitu sisi ni magumashi😂

8347078E-A7C3-446D-91EF-FEBEC860F9BD.jpeg
 
Kwenye Mechi ya Portugal vs Serbia pia angalia tukio kama la Congo limejitokeza. Serbia wamefanya sub zilizozidi awamu tatu
IMG_20211115_192920.jpg
 
Hilo kosa ni la Camisaa wa mchezo sio kosa la timu wakati Congo DR wanafanya hizo substitution alikuwa wapi??
 
Back
Top Bottom