Timu ya Taifa ya DR Congo yafanya sub mara nne jana kinyume na utaratibu

Timu ya Taifa ya DR Congo yafanya sub mara nne jana kinyume na utaratibu

Serbia walifanya sub nne. Dakika 46, 65, 69, na 89 kama ni sheria ndio inatakiwa ziwe awamu tatu tu basi ni timu nyingi zitawajibishwa ulaya ukiachana na Congo
Mimi ninachotaka kujua ni je, adhabu ya hilo kosa ni timu husika kupoteza ushindi ?
 
Mimi ninachotaka kujua ni je, adhabu ya hilo kosa ni timu husika kupoteza ushindi ?
Mimi mkuu sijui kuhusu hilo, lakini sheria za kufuzu kombe la dunia inasimamiwa na FIFA, kama sheria ya kufanya sub mwisho ni awamu tatu tu, basi ni timu nyingi zitaadhibiwa za ulaya.

Je na nchi za ulaya nazo hazina umakini wa kufuata utaratibu? Au hiyo sheria ya sub kwa awamu tatu tu tunazijua sisi Waafrica tu? Nimecheki mechi za jana mbili nimegundua kuwa ni kitu kisichozingatiwa ulaya. Timu nyingi zimefanya sub zaidi ya awamu tatu
 
Mimi mkuu sijui kuhusu hilo, lakini sheria za kufuzu kombe la dunia inasimamiwa na FIFA, kama sheria ya kufanya sub mwisho ni awamu tu, basi ni timu nyingi zitaadhibiwa za ulaya. Je na nchi za ulaya nazo hazina umakini wa kufuata utaratibu? Au hiyo sheria ya sub kwa awamu tatu tu tunazijua sisi Waafrica tu? Nimecheki mechi za jana mbili nimegundua kuwa ni kitu kisichozingatiwa ulaya. Timu nyingi zimefanya sub zaidi ya awamu tatu
Unaweza kukuta adhabu yake ni "onyo kali" basi.
 
Mimi mkuu sijui kuhusu hilo, lakini sheria za kufuzu kombe la dunia inasimamiwa na FIFA, kama sheria ya kufanya sub mwisho ni awamu tu, basi ni timu nyingi zitaadhibiwa za ulaya. Je na nchi za ulaya nazo hazina umakini wa kufuata utaratibu? Au hiyo sheria ya sub kwa awamu tatu tu tunazijua sisi Waafrica tu? Nimecheki mechi za jana mbili nimegundua kuwa ni kitu kisichozingatiwa ulaya. Timu nyingi zimefanya sub zaidi ya awamu tatu
Mkuu pengine labda kuna mabadiliko
 
Benin wakubali tu,FIFA ilishasema kwa mashindano yote sub ni 5 hadi December 31
 
Sub moja ya Serbia ilifanyika ile time timu zimetoka mapumziko kama nakumbuka sahihi...mchezo haukusimama kupisha sub
Baada ya kufatilia mechi zaidi ya 30 kuona dakika za sub na idadi ya sub nimegundua yafuatayo.
1) sub tano ruksa.

2) ukifanya sub timu inapotoka mapumziko hakuna shida hivyo nimeona timu nyingi zilizofanya sub zaidi ya awamu tano zimeonesha kufanya sub kipindi hiko.

3) kupishana kwa dakika moja katika awamu sub sio tatizo hivyo tofauti ya dakika moja itahesabika upo ndani ya awamu moja.

Kwa kuzingatia hali zote hizo tatu, ni wazi na nakiri kuwa Congo wamefanya makosa katika kufanya sub zao kwasababu sub zao zinaonesha utofauti mkubwa katika dakika na hakuna sub walioifanya walipotoka mapumziko. Wana makosa ni kweli
 
Angalia hapo means walitoka wawil kwa wakat mmoja na kuingia wawil kwa wakat mmoja
Sikuwa naongea hiyo ya kushoto bali ya sub ya upande wa kulia ambapo kuna dakika 46, 65, 69 na 89
 
Kamisaa na refa hawajui sheria ya sub?
 
Bahati mbaya sheria hiyo haijataja adhabu endapo timu itafanya mabadiliko ya wachezaji kwa vipindi vinne na zaidi.

Hivyo, uwezekano ni DRC kupewa onyo tu.

Benin wasiwe Waswahili.
 
Sijui ni kichwa kigumu au vipi? Mimi bado sijaelewa hii sheria wakuu. Kwa yeyote mwenye ufahamu na uwelewa naomba anieleweshe kwa lugha nyepesi
Mkuu kwenye hii sheria timu inaruhusiwa kufanya Sub mpaka tano ila kwa awamu zisizozidi tatu.

Maana yake huwezi ukaingiza sub kwa nyakati tofauti zaidi ya tatu ndani ya mechi moja. Ili ukamilishe sub tano unaruhusiwa kuingiza hata sub mbili kwa wakati mmoja.

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Jana kulipigwa mechi ya DR Congo dhidi ya Benin ya kufuzu kwa michuano ya kombe la dunia kwa bara la Africa.

Jana DR Congo wamefanya sub mara nne badala ya tatu kisheria hivyo wapo katika balaa la kuchukuliwa hatua, endapo itathibitika kuwa walifanya kosa hilo, Benin anaweza akafuzu kwa point za mezani.

Soka la Afrika halipo sawa, kuna shida kubwa sana kwanzia uwanjani mpakani kwenye uongozi, yaani kila kitu sisi ni magumashi[emoji23]

View attachment 2011799
Hamna cha kunuka hapo ,sheria na kanuni zimeshabadilika,unaweza fanya sub ya wachezaji hadi watano ila kwa mikupuo mitatu.
 
Serbia wamefuzu na walifanya sub 4
Hatujasikia Ureno wamekata rufaa
Angalia Serbia wamefanya sub dk 63 watu wawili kwa mpigo ,dk 73 mtu mmoja na dk 83 mtu mmoja. Hapo hawajavunja Sheria ,Sheria inasema sub 5 lakini unafanya mbili au zaidi kwa mpigo but siyo kwa mda tofauti ,Congo wamefanya kwa mda tofauti
 
Back
Top Bottom