Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Benin unaambiwa washakata rufaa CAFHahahaha mamaeee kimenuka
Kamati ya roho mbayaMuda wa mechi utakuta Benin waliona na wakavunga kama siyo wao mtu ajae kwenye 18 za CAF. [emoji23]
Mkuu umeelewa kosa la DR Congo?Hii kitu haituhusu waafrika,,?maana nakumbuka hata nyumbu walifanya sub 4...View attachment 2011903
Nakumbuka kama sub ziliongezwa hadi tano au ipoje hii?Mkuu wewe unaonaje hapo kwenye screen shot
Sub ni mpaka tano ni kweli lakini unatakiwa uzifanye mara tatuNakumbuka kama sub ziliongezwa hadi tano au ipoje hii?
Sijajua kama ni kweli ipo hivyo, angalia jana mechi ya Greece vs Kosovo. Kosovo nao walifanya sub kwa vipindi vinne kama walivyofanya D.R.C Congo ina maana nao ni wajinga kama Waafrica?Sub ni mpaka tano ni kweli lakini unatakiwa uzifanye mara tatu
Pengine sheria zimebadilikaSijajua kama ni kweli ipo hivyo, angalia jana mechi ya Greece vs Kosovo. Kosovo nao walifanya sub kwa vipindi vinne kama walivyofanya D.R.C Congo ina maana nao ni wajinga kama Waafrica?View attachment 2011950
waambie watume salamu kwa watu watatuNipo na wacongo hapa nimewaambia hiyo habari naonekana mm nina wivu kisa walitufunga
Hapo kwa Ureno wamefanya sub mbili kwa muda mmoja hyo sub ya dk ya 64Kwenye Mechi ya Portugal vs Serbia pia angalia tukio kama la Congo limejitokeza. Serbia wamefanya sub zilizozidi awamu tatuView attachment 2011961
Angalia upande wa kulia kwako Serbia wamefanya sub nneHapo kwa Ureno wamefanya sub mbili kwa muda mmoja hyo sub ya dk ya 64
Serbia walifanya sub nne. Dakika 46, 65, 69, na 89 kama ni sheria ndio inatakiwa ziwe awamu tatu tu basi ni timu nyingi zitawajibishwa ulaya ukiachana na CongoHapo kwa Ureno wamefanya sub mbili kwa muda mmoja hyo sub ya dk ya 64
Kweli mdauSerbia walifanya sub nne. Dakika 46, 65, 69, na 89 kama ni sheria ndio inatakiwa ziwe awamu tatu tu basi ni timu nyingi zitawajibishwa ulaya ukiachana na Congo