Timu ya Taifa ya wanawake ni tishio

Kilimanjaro queens ni timu iliyokamilika kuliko taifa stars.
Hiyo midfield kuna mkata umeme mmoja ana rasta hivi Amina Ally, mbele yake Mwalala na kuna mkata umeme mwingine aliingia kipindi cha pili game ya Taifa stars na South Sudan anavaa jezi namba tatu hatari sana. Right wing Stumai Abdallah anaudambwi udambwi mwingi Simon Msuva akasome, left wing kuna mwanadada roho ya paka na mapafu ya mbwa Donisia Minja anapita vijiji uwanjani anapiga migoli hatari.
Tuki-invest hawa mabinti watatuwakilisha vyema sana kimataifa shida tupo kwa wale vijeba kwa sababu ya mazoea tu...

D.Minja pekee anauwezo mkubwa wa kufanya maamuzi kuliko strikers wa stars
 
France na USA wametuzidi kila kitu unataka tujilinganishe nao ?
tunawafunga wabovu wenzetu sema kwa afrika mashariki hakuna atakaetufunga ila bado hatuna timu bora ukitaka kujua tuna timu ya kawaida kafatilie ile game ya USA NA FRANCE world cup ya wanawake alafu anagalia game za tanzania
 
Nashauri iwakilishe Taifa badala ya Taifa stars
 
Zanzibar leo wamefundishwa mpira na dada zao wakuu
 
hawa dawa yao ni kuwapambanisha na BANYANA BANYANA ya south africa ama wanawake wa NIGERIA na GHANA uone wanavyohemea matakoni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hawa dawa yao ni kuwapambanisha na BANYANA BANYANA ya south africa ama wanawake wa NIGERIA na GHANA uone wanavyohemea matakoni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hata hao Banyana Banyana, Nigeria na Ghana wakajipange kwa timu hii ya sasa. Usiichukulie poa.
 
tunawafunga wabovu wenzetu sema kwa afrika mashariki hakuna atakaetufunga ila bado hatuna timu bora ukitaka kujua tuna timu ya kawaida kafatilie ile game ya USA NA FRANCE world cup ya wanawake alafu anagalia game za tanzania
Huko umeenda mbali, jiulize tu kama hata Taifa stars inaziweza hizo timu ulizotaja!
 
Wazuri CECAFA tu wakikutana na magiant Cameroon na Nigeria watapigwa wiki
 
Lakini wanacheza mpira mzuri ambao hata Taifa Stars haichezi. Bado nasema kwa sasa hata Cameroon na Nigeria wajipange.
Mademu wa Nigeria na Cameroon wanacheza Ulaya hatari man
 
Jamani mwenye namba za donisia naomba tafadhali nimemwelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…