Timu yenu iliyowapa ushujaa imeshuka daraja

Sio shida zetu mkuuu wewe endelea kufa kiume
 
Aaaaa haiwezekani!Ina maana Semaji la CAF likikuwa linasema kweli?Waje Zolan wathibitishe hili.Si kweli.Sisi Utopolo wakubwa.Wivu tu.
 
Toneshe medali ya final
 
Stress
Stress mbaya sana unaweza kubaka house girl kesho utasema pombe
 
Twende kwa fact sio unasema tu haiwezekani bila kuweka misingi ya hoja.

Hawa Marumo kwa South Africa si dhaifu si ndio, je unaweza kuniambia ni kwanini timu dhaifu ya kutoka South Africa imemfunga timu inayoshika nafasi ya tatu ( tofauti ya point 2 na iyeshika nafasi huku wakiwa na game mbili mkononi) ambao ni Pyramids ambao pia ni washindi kwenye kombe la shirikisho Misri.

Nipe sababu kwanini hii tumu dhaifu kutoka South Africa imeifunga goli mbili kwa bila timu inayoshika nafasi ya nane kwenye ligi ya Algeria (USM Alger)?

Nipe sababu kwanini timu dhaifu kutoka South Africa imeifunga nje ndani timu ya pili kwenye msima wa ligi ya Congo (Sait eloi Lupopo)

Nipe sababu kwanini timu dhaifu kutoka South Africa imeifunga timu za juu kwenye msimamo wa ligi ya Libya (Al Ahli Tripoli na Al Akhdar)

Nipe sababu ya hawa Marumo kushindwa kung'ara endapo wangekuwa kwenye ligi za nchi zingine.
 
Umewahi kujiuliza mwaka Jana wakati marumo wanapata chance ya kucheza shirikisho waliokuwa nafasi ya ngap kwenye ligi ya south... Shirikisha akili
 
Ulisshaona mtu akiachwa utasikia mwanamke mwenyewe unakomwe [emoji23], mara wakiitwa wanaume nawewe utatoka, sasa kama hauumii si ukae kimya!
 
Punguza makasiriko
 
Rudi shule kafundishwe upya, ni sawa na kusema Man u ni bora kuliko Madrid sababu Man u alimfunga Barcelona bingwa wa La liga au Man u alimfunga Man city then Man city akamfunga Madrid! mambo hayaendagi hivyo brother.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…