Timu za Afrika zinaenda kupata aibu Kombe la Dunia Qatar 2022

kocha Nabi

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2022
Posts
709
Reaction score
1,881
Moja ya vitu vilivyofanya niandike uzi huu, ni jinsi mchakato wa timu zetu zilivyopatikana, nyingi zimeenda kibahati bahati na figisu za Kiafrika. Hili linajidhihirisha kwenye mechi za kirafiki, yaani Mnigeria ananyanyaswa kama mtoto.

Pia wachezaji wengi wa Kiafrika watakaoenda kuomba omba jezi na viatu hadi itakuwa kero, ni kama wanashindana kujaza jezi ndani na kusahau kilichowapeleka.
 
Wachezaji gani wataenda kuomba omba jezi ovyo wape heshima basi waafrca wezako asilimia kubwa ya wachezaji wengi wa mataifa ya Africa yanayocheza kombe la Dunia wengi wao wamekaa na kupata makuzi ya soka ulaya si wasenegal wala wa moroco nin kitu gani kipya kitafanya wakombe jezi kweny kombe la Dunia Messi au Ronaldo Kuna wachezaji kibao washa cheza na huyo Messi na Ronaldo na wamekutanao kweny ligi zao na ligi ya mabigwa ulaya kuwa na nidhamu na waafrica wezako basi
 
Kuna baadhi zimepita kwa match fixing nahisi ni kama NIGERIA 2010 naskia walifanya match fixing ndo wakaqualify
 
kwani nigeria kafuzu kombe la dunia la wapi mkuu?
 
We kweli kilaza, unazungumzia timu za afrika kwenda kufanya vibaya WC halafu mfano unautolea kwa NIGERIA, sasa nigeria wopo WC ya mkeo?
 
Hatunaga uwekezaji mkubwa wa soka kama wenzetu, hili ndo jawabu sahihi.
 
Ubeligiji anakandwa na misri husemi chochote umetulia tu
 
Nilifikiri sababu yako itakua ni ugumu wa makundi tuliyopo.. maana nimecheki makundi yote sioni mwenye unafuu wa kuvuka group stage
 
Well said
 
Hiyo team ya Nigeria uliyoitolea reference haijafuzu kaa Kwa kutulia, team zote zilizofuzu za Africa game za kirafiki zimeshinda kasoro Cameroon tu ndo ametoka Sare V Panama
 
Wanaweza tu wakafanya vizuri kwani siku hizi tofauti ya taifa na taifa kimpira sio kubwa sana kama ilivyokuwa zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…